The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 557
Huu ushauri unaotolewa ni kweli una-reflect reality?? mbona mimi naona watu wengi sana huwa wana hizo CD???
Huu ushauri unaotolewa ni kweli una-reflect reality?? mbona mimi naona watu wengi sana huwa wana hizo CD???
ushauri upi unaozungumzia wewe, maana hapa kuna positive (support), na negative (oppose),
wewe unawaona watu wengi wakiwa nazo wapi? wewe kwa mtazamo wako ni vipi, zinafaa au hazifai
...kwanza nyingi zimejaa mapenzi ya tigo.....tusiige wazungu kwa kila kitu...
...wewe dumbayeye mwanzoni mlipooana miaka 10 iliyopita mlikuwa mnaangalia cd za ngono?
Yaani una maana sexual behaviour yetu wana wa Adam na minguruwe ni sawa,du,mdau umepiga ikulu!nimeona kwenye wikipedia article inayozungumzia sex for pleasure, inaweza ikawa inakinzana na wazo lako nililolihighlight hapo juu. naquote
'It is a common myth that animals do not (as a rule) have sex for pleasure, or alternatively that humans, pigs (and perhaps cats, dolphins and one or two species of primate) are the only species which do. This is sometimes formulated "animals mate only for reproduction".
kumbe basi humans and pigs huwa wanafanya mapenzi kwa kujiburudisha ikiwa ni pamoja na reproduction
Maliberali wanamwogopa X-PASTER maana inalekea katika suala hili rungu lake zito hivyo wameona bora kuupwaka!Wale maliberali wako wapi kwenye hii thread?
Ni kweli hakuna umuhimu wa CD za ngono kwenye ndoa?sasa nani aziangalie maana watoto hawaruhusiwi,ni bora kumzuia mtu kuangalia na akaangalie kisirisiri au kumpa uhuru achague mwenyewe,nielimisheni.
well being honest mimi sizipendi hizi cd za ngono kwa kweli kwasababu moja ninao mfano hai ambapo baadhi ya rafiki zangu wapo ambao hawawezi kufanya tendo hilo bila kuangalia hizo cd wakati ni vijana wa umri mdogo haya nambie wakifika umri wa hormones kwenda kwao itakuwaje? ila kuna zingine za mafunzo jinsi ya kuhakikisha mwenzio anaridhika e.g Kamasutra..... so kama ukiangalia kwasababu ya kujifunza ili umridhishe mwenzio sioni tatizo lake lakini sio kuangalia ili upate hamu au ujifurahishe kwakweli inaharibu..ushauri upi unaozungumzia wewe, maana hapa kuna positive (support), na negative (oppose),
wewe unawaona watu wengi wakiwa nazo wapi? wewe kwa mtazamo wako ni vipi, zinafaa au hazifai
Hapa umenena! Cd za ngono zinaleta uhanithi baadaye. Ni sawa na kutumia mkuyati wakati bado uko fit. Waache hiyo kitu!well being honest mimi sizipendi hizi cd za ngono kwa kweli kwasababu moja ninao mfano hai ambapo baadhi ya rafiki zangu wapo ambao hawawezi kufanya tendo hilo bila kuangalia hizo cd wakati ni vijana wa umri mdogo haya nambie wakifika umri wa hormones kwenda kwao itakuwaje? ila kuna zingine za mafunzo jinsi ya kuhakikisha mwenzio anaridhika e.g Kamasutra..... so kama ukiangalia kwasababu ya kujifunza ili umridhishe mwenzio sioni tatizo lake lakini sio kuangalia ili upate hamu au ujifurahishe kwakweli inaharibu..
Jamani nipo kwenye ndoa zaidi ya miaka 10, nilikuwa na package ya cd mbali za ngono na tulikuwa tunafurahia na mywife. Jana nimezikuta zimesagwasagwa...eti zinanichochea niwe na wanawake wengi, je wakuu sijapokonywa haki yangu?
Sidhani kama hiyo ni tabia nzuri acha kabisa mi ningekushauri uende kwa watoa ushauri wakupe cancelling utakuwa na matatizo.
Mimi ni james sio dhambi ila hazina maadili mazuri kwa wanandoa maana upnde wa pili ama mke au mme anaweza a kaona kwenye cd yule mtu anaridhishwa sana kimapenzi na yeye haridhishi hivyo kuamua kutoka nje ya ndoa. Mimi ninamfano wa mke wa rafiki yangu alikuwa ni mwaminifu san katika ndoa yake lakini baada ya kuangalia Cd za ngono akaanzq kutoka nje baada ya kugundua kuwa kumbe mmewe si lolote goli moja tu hoi, wakati kwenye Cd mpaka magoli sita
Kwakweli CD za Ngono ni Mbaya sana tena zinachochea ngono ya mara kwa mara, maana ya tendo la ndoa ni kwa ajili ajili ya reproduction na tunafanya makosa tukizani ni mchezo wa kujiburudisha! Ni sawasawa na kujisaidia tu. Huwezi kusema unafanya mazoezi ya kujisaidia! Unaweza!!!
Ni Mawazo tu.