hahhahahahha umenichekesha hapo uliposema 'hiyo reproduction ni by the way tu' maana kuna watu wanata kufanya tendo hilo kwa kujipa waha na sio kwa ajili ya repproduction , ila hata mimi simwelewi huyu kyakya .... kwahiyo weee unafanya mapenzi unapotraka mtoto tu vinginevyo unakaaa tu unamwangalia mwenzio hao watoto wako wamepishana mwezi mmoja mmoja au au miaka miwili ? maana kama wanapishana miaka miwili basi utakuwa unapiga nyeto babuuuu si mchezoNa kweli haya mawazo tu. Hapo nilipo-highlight kuna watu hawakuelewi kabisa unamaanisha nini kwani kwao hiyo reproduction ni by the way tu.