Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
umeanza ukorofiWewe umeolewa?
umeanza ukorofiWewe umeolewa?
umeanza ukorofi
Kumbe na wewe unakijua hicho kipindi eeh? Kuna wakati mimi nilikuwaga addicted nacho sana aisee.Nawapenda Cheaters kule USA wanavyofanya mambo yao,nliwahi tumia trick yao Moja ikawork vizuri kweli!
what is the purpose of marriage? nipe jibu then nitaolewa.then uniambie niolewe na nani na nitamtoa wapi hapo utapata ubwabwaUnaolewa lini bana? Watu tuna hamu na ubwabwa
<br /><br /><br />
<br />
what is the purpose of marriage? nipe jibu then nitaolewa.then uniambie niolewe na nani na nitamtoa wapi hapo utapata ubwabwa
kumechisha nini?Safi sana kumbe bado upo upo, hata mimi nipo nipo tunaweza kumechisha?
kumechisha nini?
<br />Hakuna privacy yoyote iliyoharibiwa hapa. Hajatajwa mtu, mtaa, tarehe, jina la kampuni wala chochote cha ku-implicate mtu. isitoshe mdaku yeyote anaweza kutunga story kama hii na kubandika hapa. kwa hiyo hatujadili mtu, tunajadili kilichotendeka.
Imenishangaza sana hii. Kuna mama mmoja anamiliki mini-supermarket moja hapa A town alitupatia tenda ya kumwekea CCTV kwenye biashara yake. Watu wa installation walifanya kwenye angles walizochagua, sisi tulimwekea software kwenye computer yake ofisini ya kumwezesha kufanya monitoring, surveillance na reviews muda wowote anaotaka. Actually anaweza aka-copy footage za siku hiyo kwenye laptop na kwenda kuzi-review nyumbani kwa muda wake. Mama kaipenda sana, akatuita pembeni akasema anataka tukamfanyie huduma kama hiyo nyumbani kwake. Cha kushangaza, mojawapo ya sehemu alikotaka ifungwe CCTV camera ni chumba cha housegirl wake. Bedrooms zingine zote hajaweka, ni hiyo ya house girl tu. Hii imekaaje wadau.
<br />Kumbe na wewe unakijua hicho kipindi eeh? Kuna wakati mimi nilikuwaga addicted nacho sana aisee.
Kumbe na wewe unakijua hicho kipindi eeh? Kuna wakati mimi nilikuwaga addicted nacho sana aisee.
Umewahi kuona episode ambayo alieenda kufumania alikuta anaenda kumfumania mtu na mkewe?!Kumbe yeye ndio mwizi...ila nilichopenda wanawake hawakugombana hata kidogo (kama ilivyozoeleka) ila walimchangia mwanaume!!
Imenishangaza sana hii. Kuna mama mmoja anamiliki mini-supermarket moja hapa A town alitupatia tenda ya kumwekea CCTV kwenye biashara yake. Watu wa installation walifanya kwenye angles walizochagua, sisi tulimwekea software kwenye computer yake ofisini ya kumwezesha kufanya monitoring, surveillance na reviews muda wowote anaotaka. Actually anaweza aka-copy footage za siku hiyo kwenye laptop na kwenda kuzi-review nyumbani kwa muda wake. Mama kaipenda sana, akatuita pembeni akasema anataka tukamfanyie huduma kama hiyo nyumbani kwake. Cha kushangaza, mojawapo ya sehemu alikotaka ifungwe CCTV camera ni chumba cha housegirl wake. Bedrooms zingine zote hajaweka, ni hiyo ya house girl tu. Hii imekaaje wadau.
Sheria inasemaje juu y HG kupigwa picha bila ridhaa yake kwani kuna mda atakuwa anabadili nguo hivyo ataonekana akiwa naked.nina wasiwasi na huyo mama
This is breach of privacy!..pia ungemuuliza yeye imekaaje!!
Huyo housegirl akimpata mwanasheria mzuri na kumwelezea haki zake za msingi na kumshtaki huyo mama atapata compensation ya kutosha kabisa na kuachana na huo u housegirl. This will be a completely violation of her privacy unless huyo mama amwambie in advance. Halafu nyie mnaofunga hizo CCTV hamna guidelines au mnaweka pesa mbele tuu?Hiyo sio njema kumfanyia binadam mwenzio hivyo
Labda mama amepata habari za ki-intelejensia kwamba anaibiwa na hg anaamua kudhibiti.hiyo ndo inaitwa ulinzi shirikishi khaaaaaaaaaaa........
Imenishangaza sana hii. Kuna mama mmoja anamiliki mini-supermarket moja hapa A town alitupatia tenda ya kumwekea CCTV kwenye biashara yake. Watu wa installation walifanya kwenye angles walizochagua, sisi tulimwekea software kwenye computer yake ofisini ya kumwezesha kufanya monitoring, surveillance na reviews muda wowote anaotaka. Actually anaweza aka-copy footage za siku hiyo kwenye laptop na kwenda kuzi-review nyumbani kwa muda wake. Mama kaipenda sana, akatuita pembeni akasema anataka tukamfanyie huduma kama hiyo nyumbani kwake. Cha kushangaza, mojawapo ya sehemu alikotaka ifungwe CCTV camera ni chumba cha housegirl wake. Bedrooms zingine zote hajaweka, ni hiyo ya house girl tu. Hii imekaaje wadau.