Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,450
- 799
- Thread starter
- #41
Tataizo la Vyama vya Upinzani badala ya kwenda mbele vinarudi nyuma,..experience ya vyama vya upinzani ni tofauti sana na ya Ccm.
..unatakiwa ulinganishe baina ya vyama vya upinzani vyenyewe ndipo u-conclude kwamba chama fulani kinakua, au kimedumaa.
..kwa mfano, ukilinganisha Nccr vs Cuf hutakuwa umekosea, kwasababu ni vyama vilivyoanzishwa pamoja, na wakati wote vimefanya siasa ktk mazingira yanayofanana.
..Ccm ni chama tofauti kulinganisha na vingine kwasababu chenyewe kimeanzishwa na kujitanua wakati wa mfumo wa chama kimoja, na chama kushika hatamu.
Iko wapi NCCR?
Iko wapi CUF?
Iko wapi CHADEMA
Vyama hivi vinakua na kusinyaa haraka
Vinainuka na kukaa haraka tu,Vimefika ukomo wake sababu 1 tu hawabadilishi viongozi wao iliwapate nguvu, akili, ujasiri na mbinu mpya.