MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Hakuna maamuzi ya jazba bali ni kuzisimamia kanuni na taratibu za chama tu.Kesho viongozi wa CDM watakua makini na maamuzi yao ya jazba.
VIVA CCM
Hakuna maamuzi ya jazba bali ni kuzisimamia kanuni na taratibu za chama tu.Kesho viongozi wa CDM watakua makini na maamuzi yao ya jazba.
VIVA CCM
Asante kwa taarifa hizi ingawa si nzuri kuzisikia
Ni heri Chama kishindwe Uchaguzi kuliko kuwa na Wanachama wa aina ya Zitto Kabwe, refer to Hamad Rashid CUF, na Kafurila NCCR, je umeshasikia tena chokochoko kwenye hivyo vyama?Kesho viongozi wa CDM watakua makini na maamuzi yao ya jazba.
VIVA CCM
Lowassa na Chenge wamejitoa!!?????Umeya umeenda CCM kwa sababu viongozi wa CHADEMA ni madikteta. CCM ahufukuzwi unajitoa mwenyewe.
Ningeelewa huo ushindi ungekuwa ni ule unaotokana na kura za wananchi moja kwa moja. Meya anachaguliwa na madiwani (ambao wameshakuwa madiwani tangu 2010), kwa hiyo sioni kilichobadilika mana madiwani wa ccm na wale wasio wa CHADEMA wakiwa wengi obviously watamchagua diwani wa ccm. So what is new here?
Kwa matokeo haya wakulaumiwa ni kamati kuu ya cdm na secretariat nzima ya cdm. Walifanya maamuzi ya jazba sana kuwafukuza udiwani wakina Chagulani matokeo yake ndio haya kupoteza uongozi wa halmashauri hii muhimu sana sana, bila kupepesa macho lawama ziende kwa Dr Slaa. Sasa hii yaonyesha nguvu za cdm mwanza ndio zitakuwa zimepungua hivyo na hii yaweza kukidhoofisha chama chetu, tujifunze kwa hili la mwanza na tusirudie makosa tena kama hayo.
Mgombea wa kiti cha umeya katika Halmashauri ya jiji la Mwanza kupitia CCM na diwani wa kata ya Mkolani Ndg Stanslaus Mabula, ameshinda kiti cha umeya kwa jumla ya kura 11 dhidi ya mgombea wa CHADEMA diwani wa kata ya Mahina Ndg Charles Chinchibera aliyepata kura 8.
Source: Mimi mwenyewe nipo eneo la tukio.
Lowassa na Chenge wamejitoa!!?????
Ni heri Chama kishindwe Uchaguzi kuliko kuwa na Wanachama wa aina ya Zitto Kabwe, refer to Hamad Rashid CUF, na Kafurila NCCR, je umeshasikia tena chokochoko kwenye hivyo vyama?
sinaskia nape na wenzake jana usiku walikuwa lakairo hotel wakipanga wanunue umeya kwa sh. Ngapi so wamefika bei.! Ccm hovyooooo.! Ndo chama linakufa hivyo ngoja hela chafu zamafisadi zipigwe pini tuone jeuri yenu magamba nyie
Jamiiforum mbona kwenye simu zetu mnatum\a meseji moja mara mbili alafu mnakata!!!!?
Mimi naona kama CCM sasa ndo inafufuka kwa kasi, sijui nyie wenzangu.
hapo umenena. Kuna wengine kama sisi tunaendelea kutawaliwa kwa sababu ya ujinga wetu lakini likija suala la watu walio na 'malengo maalum', ndipo tunajifunza ilivyokuwa muhimu kuwafukuza hao madiwani na hata ni bora kupoteza kiti chama kikiwa na wanachama watiifu kuliko kuwa na kiti kikiwa na mamluki wasioweza hata kusimamia vision ya chama.Ni heri Chama kishindwe Uchaguzi kuliko kuwa na Wanachama wa aina ya Zitto Kabwe, refer to Hamad Rashid CUF, na Kafurila NCCR, je umeshasikia tena chokochoko kwenye hivyo vyama?
Yaani nijitoe ufahamu ili niwe kama kilaza KJ.Hapa tunaongelea umeya Mwanza kaka au unajitoa ufahamu?
Hongereni magamba