Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Ni kweli Mkuu Tamko litatolewa mbele ya Sultani Kikwete na wanaeLini mtatoa tamko la kupinga matokeo nasikia usalama wa taifa wameiba kura.
Ni kweli Mkuu Tamko litatolewa mbele ya Sultani Kikwete na wanaeLini mtatoa tamko la kupinga matokeo nasikia usalama wa taifa wameiba kura.
CCM ni chama cha upinzani, nilikuwa sijaelewa
ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
HIi munataka kutumia kama credit ya kisiasa, madiwani wa CUF ndio wamewapa ushindi CCM period labda ututhibitishie hapa ni kwa vipi madiwani wa CUF waliathirika na kufukuzwa kwa madiwani wawili wa chadema wakabadili mawazo kuwapigia CCM,chagulani kwenye uchaguzi alikuwepo na kura zilizowapa ushindi CCM ni mbili za CUF na yule mdada aliyetolewa Ilemela hakuna cha kujivunia zaidi ya umafiakitendo cha kuwafukuza madiwani wawili wa chama hicho ni technic iliyotumiwa na chadema kurudisha jiji hilo ktk mikono ya CCM, hili mliangalie vizuri na mliundie tume, na kitendo cha diwani mmoja kusaliti japo CHAMA CHA WANAINCHI CUF kutuunga mkono.
Wewe mchana kutwa ni kumsema Zitto, je na hilo unaonaje?Great Thinker @ work, hizi ndio comment zilizokwenda shule zinazokosekana siku hizi ndio maana nikaanza kushangaa kumbe vichwa bado vipo humu!!
Basi tusiruhusu akili ndogo ziongoze akili kubwa humu kwenye mijadala ambayo hata watoto zetu wakilog in JF wanaweza kufaidika na kitu, kutokana na comment yako hii iliyokwenda shule, nimeaprove Reputation Power kwako na nimekungea LIKE na natembelea Profile yako kusaign kwenye Guest wall yako.
Matola says thanks Kigarama for this useful post.
mkuu ni vema uchague rangi nzuri ili mchango wako usomwe na wengi..hii rangi uliyochagua inaumiza sana macho.!
Anayezimia ovyoovyo si unamjua huyo m/kiti wako? sijui ana kifafa? au juju.dr slaa vipi hajazimia kwa aibu?
Mafisadi Ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!