JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,106
- 3,523
hivi ni kwanini wanachama hai wa ccm ni wachovu sana kiuchumi??? nimefuatilia mara nyingi tena mikoa mbalimbali unakuta wahudhriaji wa mikutano yao wako taabani vibaya sana.ndio maana wanakuwa wachokozi wanahasira sana kuwa nyuma kiuchumi.