- Thread starter
- #41
Kuna siku wataitaka wao hata Ndugai alikuwa anasema hakuna haja ya katiba mpya ila aliko anajuta.CCM hawataki kabisa kuwa chama cha Upinzani sababu wanajua dhoruba wanayowafanyia.
Kwa hiyo ngao yao kuu ni Katiba hii ya sasa kuenelea kutumika.