Wanabodi,
Baada ya JF kushutumiwa kuwa inamilikiwa na Chadema, na CCM imejivua gamba, Jee hakuna haja ya kujitolea kutoa wito kwa wana JF wengi tujiunge na Chama Cha Mapinduzi?.
Natoa wito kwa wale wote wanaitakia mema nchi hii, naombeni sasatuipende CCM, CCM sasa ni CCM Mpya, imejivua gamba la ufisadi, sasa CCM inameremeta, inavutia, inapendeza hivyo wale tusio na vyama kama mimi, CCM ndio chama cha kujiunga nacho, kwani baada ya kuvua gamba, CCM ni safi.
Na kwa msiomjua nyoka, kumbe sumu ya nyoka, iko kwenye gamba!, nyoka akishajivua gamba, anakuwa hana sumu tena, huyo ni nyoka wa kumkaribia hata kumchezea kama yale majoka wa Kibisa!.
Shime tujiunge na CCM safi, CCM Mpya kwa wingi! na humu jukwaani tujaze posti za shangwe na mapambio kuisifu CCM, ili ipendeke baada ya kujivua gamba.
Pasco.
merytina, kumbe wewe ni mwanafunzi wa VETA?,tuleteeni kanga na kofia
,mtuletee ze comedi na wasanii wa bongo fleva sisi wanafunzi wa VETA tutajiunga fasta na kuwa makada wa kuiwakilisha CCM popote mtakapotaka
mkuu wito wako mzuri ila naomba unitajie kwa majina waliovuliwa gamba. Hapa simaanishi waliosengenywa,nasema waliondolewa!na wao kutangaza kuwa kweli wameondoka! Yasije yakawa maneno kama ya jk,na mahaadi yao feki! Anyway,mi kadi yangu ya ccm bado ninayo na nahaidi kurudi ccm kama haya yatatekelezwa: 1. List of shame ya mwembe yanga ipelekwe mahakamani. 2. Rais jk aeleze wangapi walikamatwa na kwenda jela katika kesi ya dowans,epa na kagoda,achana na tangold na meremeta! 3. Nyumba zote zilizouzwa na magufuli kwa majaji na vigogo washtakiwe na kutaifisha nyumba za serikali. 4. Bil1.5 za mabango ya jk zimetokaje hazina? 5. Kwa nini Rex Attoney ndo wakili wa taasisi za serikali badala ya taasisi ya mwanasheria mkuu wa serikali! 6. Kwa nini Babu zetu waliofanya kazi EAC wanapigwa mabomu. 7. Kima cha chini cha mshahara kiwe sawa na mshahara wa housegirl/wapishi wa ofisi za ikulu! 8. NEC itoe takwimu halali za kura za uchaguzi mkuu oct2010. Baada ya hapo mi naenda Lumumba kulipia ada ya miaka ya nyuma na uanachama wangu uwe hai.
Tujiunge na nini? Jiheshimu mtu wangu.Wanabodi,
Baada ya JF kushutumiwa kuwa inamilikiwa na Chadema, na CCM imejivua gamba, Jee hakuna haja ya kujitolea kutoa wito kwa wana JF wengi tujiunge na Chama Cha Mapinduzi?.
Natoa wito kwa wale wote wanaitakia mema nchi hii, naombeni sasatuipende CCM, CCM sasa ni CCM Mpya, imejivua gamba la ufisadi, sasa CCM inameremeta, inavutia, inapendeza hivyo wale tusio na vyama kama mimi, CCM ndio chama cha kujiunga nacho, kwani baada ya kuvua gamba, CCM ni safi.
Na kwa msiomjua nyoka, kumbe sumu ya nyoka, iko kwenye gamba!, nyoka akishajivua gamba, anakuwa hana sumu tena, huyo ni nyoka wa kumkaribia hata kumchezea kama yale majoka wa Kibisa!.
Shime tujiunge na CCM safi, CCM Mpya kwa wingi! na humu jukwaani tujaze posti za shangwe na mapambio kuisifu CCM, ili ipendeke baada ya kujivua gamba.
Pasco.
1. List of shame ya mwembe yanga ipelekwe mahakamani- Tumeshazipeleka zile kesi za utangulizi mahakamani, zikishaamuliwa ndipo tutazipeleka zilizobakia. Hatupendi kuingilia uhuru wa mahakama, hukumu za kwanza zinatarajiwa kutolewa 2016, hivyo 2015 mtatupa miaka mingine mitano tumalizie kazi hii nzuri tulioianza.
2. Rais jk aeleze wangapi walikamatwa na kwenda jela katika kesi ya dowans,epa na kagoda,achana na tangold na meremeta! -Wengi tuu wako jela, ila kwa vile tunaheshimu haki za binaadamu, tumepanga hatutawataja kwa majina ili kuwalindia heshima zao.
3. Nyumba zote zilizouzwa na magufuli kwa majaji na vigogo washtakiwe na kutaifisha nyumba za serikali- infact zile nyumba hatukuziuza kwao, bali tumewapa kama zawadi kwa kuheshimu mchango wao kwa taifa. Tulijifanya tumewauzia ili wanachi wasipige kelele sana, ndio maana zile bei ni za chini, na ni serikali, imewapa mikopo kuzinunua na hawatakiwi kulipa mkopa huo.
4. Bil1.5 za mabango ya jk zimetokaje hazina?- No hazikutoka hazina, tulipewa na Shemeji Ghadaffi, hivi hamjua amemuoa yule aliyekuwa mke wa yule mbabe wa Zenj, baada ya mke mwenyewe kumlalamia mumewe kwa Ghadaffi kuwa hawezi kazi!.
5. Kwa nini Rex Attoney ndo wakili wa taasisi za serikali badala ya taasisi ya mwanasheria mkuu wa serikali!- Kwenye mikataba yoke ya inayohusu serikali, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, ni sehemu ya serikali, hivyo hawezi kuwa wakili wa serikali. Samani ilikuwa ni Mkono Companya sasa ndio Rex. Tumeipa Rex kwa sababu, siu unajua tena uhusiano wa mkulu na mama balozi?, isitoshe kale ka mkwana ka mwanetu mpenzi, pia kameajiriwa pale, sasa bila kuipa kampuni hii kazi hizi kubwa kubwa, watakalipa nini kabinti ketu?, next time tutaipa IMMA etc etc, nawe kama una kakampuni kako ka uwakili, kalete tuu.
6. Kwa nini Babu zetu waliofanya kazi EAC wanapigwa mabomu, wanapigwa mabamo kwa vile wameshajizeekea wakisubiri woto tuu, hivyo kuwalipa haki zao, kutapunguza fungu la vinywaji na vitafunwa na safari za muheshimiwa kwenye ile bajeti yetu.
7. Kima cha chini cha mshahara kiwe sawa na mshahara wa housegirl/wapishi wa ofisi za ikulu!- tukiwalipa watu vizuri hivyo, tutaharibu!, watu ili waweze kukunyenyekea, hakikisha wananjaa siku zote ili ukiwapatia tuu T-shirt, kofia na kanga, watakushukuru na kuendelea kukupigia kura zao.
8. NEC itoe takwimu halali za kura za uchaguzi mkuu oct 2010- Zile zilizotolewa ndizo halali zenyewe, hata hao wanalalama, wanalijua hilo, maana mawakala wao walikuwepo kwenye vituo vyote ndio maana hawana zaidi ya matokeo yale.
Kama umeridhika jiunge haraka, kama wewe ni msomi wa ngazi ya chuo kikuu, tutakuzawadia ka wilaya, kama una masters, tunakupa mkoa na wenye Ph.D ndio watashika wizara. Ila hata kama haujasoma sana, T-shirt na kofia hutakosa.
umuiya CCM zatakiwa pia 'kujivua magamba'
Na Gladness Mboma
Wakati huo huo, Spika wa Bunge wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Bw. Godluck Mangomango ambaye alidai alikuwa mwanachama wa CHADEMA amejiunga na shirikisho hilo kwa madai ya mabadiliko yaliyofanywa na Rais Kikwete.
Akizungumza na Waandishi wa Habari Dar es Salaam jana, Bw. Mangomango alisema kuwa baadhi ya vijana waliokuwa wamejiondoa CCM na kujiunga na CHADEMA, sasa wameamua kurejea CCM baada ya kuwepo kwa mabadiliko.
my take: KUNA HAJA YA KUCHUNGUZA CHETI CHA HUYU JAMAA!! AMESOMA, HAJAELIMIKA.....NI OPPORTUNIST KAMA SHANGWE CHITAMBALA, LUCY MAYENGA etc...wilaya zenyewe ziko ngapi??? hamwoni hata mkulu mwenyewe ameshindwa kufanya teuzi mpya?,
NDIO niliwashauri CCM wajivue govi ndio lenye heshima na sio gamba! '1*kwani wao nyoka???
1. List of shame ya mwembe yanga ipelekwe mahakamani- Tumeshazipeleka zile kesi za utangulizi mahakamani, zikishaamuliwa ndipo tutazipeleka zilizobakia. Hatupendi kuingilia uhuru wa mahakama, hukumu za kwanza zinatarajiwa kutolewa 2016, hivyo 2015 mtatupa miaka mingine mitano tumalizie kazi hii nzuri tulioianza.
2. Rais jk aeleze wangapi walikamatwa na kwenda jela katika kesi ya dowans,epa na kagoda,achana na tangold na meremeta! -Wengi tuu wako jela, ila kwa vile tunaheshimu haki za binaadamu, tumepanga hatutawataja kwa majina ili kuwalindia heshima zao.
3. Nyumba zote zilizouzwa na magufuli kwa majaji na vigogo washtakiwe na kutaifisha nyumba za serikali- infact zile nyumba hatukuziuza kwao, bali tumewapa kama zawadi kwa kuheshimu mchango wao kwa taifa. Tulijifanya tumewauzia ili wanachi wasipige kelele sana, ndio maana zile bei ni za chini, na ni serikali, imewapa mikopo kuzinunua na hawatakiwi kulipa mkopa huo.
4. Bil1.5 za mabango ya jk zimetokaje hazina?- No hazikutoka hazina, tulipewa na Shemeji Ghadaffi, hivi hamjua amemuoa yule aliyekuwa mke wa yule mbabe wa Zenj, baada ya mke mwenyewe kumlalamia mumewe kwa Ghadaffi kuwa hawezi kazi!.
5. Kwa nini Rex Attoney ndo wakili wa taasisi za serikali badala ya taasisi ya mwanasheria mkuu wa serikali!- Kwenye mikataba yoke ya inayohusu serikali, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, ni sehemu ya serikali, hivyo hawezi kuwa wakili wa serikali. Samani ilikuwa ni Mkono Companya sasa ndio Rex. Tumeipa Rex kwa sababu, siu unajua tena uhusiano wa mkulu na mama balozi?, isitoshe kale ka mkwana ka mwanetu mpenzi, pia kameajiriwa pale, sasa bila kuipa kampuni hii kazi hizi kubwa kubwa, watakalipa nini kabinti ketu?, next time tutaipa IMMA etc etc, nawe kama una kakampuni kako ka uwakili, kalete tuu.
6. Kwa nini Babu zetu waliofanya kazi EAC wanapigwa mabomu, wanapigwa mabamo kwa vile wameshajizeekea wakisubiri woto tuu, hivyo kuwalipa haki zao, kutapunguza fungu la vinywaji na vitafunwa na safari za muheshimiwa kwenye ile bajeti yetu.
7. Kima cha chini cha mshahara kiwe sawa na mshahara wa housegirl/wapishi wa ofisi za ikulu!- tukiwalipa watu vizuri hivyo, tutaharibu!, watu ili waweze kukunyenyekea, hakikisha wananjaa siku zote ili ukiwapatia tuu T-shirt, kofia na kanga, watakushukuru na kuendelea kukupigia kura zao.
8. NEC itoe takwimu halali za kura za uchaguzi mkuu oct 2010- Zile zilizotolewa ndizo halali zenyewe, hata hao wanalalama, wanalijua hilo, maana mawakala wao walikuwepo kwenye vituo vyote ndio maana hawana zaidi ya matokeo yale.
Kama umeridhika jiunge haraka, kama wewe ni msomi wa ngazi ya chuo kikuu, tutakuzawadia ka wilaya, kama una masters, tunakupa mkoa na wenye Ph.D ndio watashika wizara. Ila hata kama haujasoma sana, T-shirt na kofia hutakosa.
Wanabodi,
Baada ya JF kushutumiwa kuwa inamilikiwa na Chadema, na CCM imejivua gamba, Jee hakuna haja ya kujitolea kutoa wito kwa wana JF wengi tujiunge na Chama Cha Mapinduzi?.
Natoa wito kwa wale wote wanaitakia mema nchi hii, naombeni sasatuipende CCM, CCM sasa ni CCM Mpya, imejivua gamba la ufisadi, sasa CCM inameremeta, inavutia, inapendeza hivyo wale tusio na vyama kama mimi, CCM ndio chama cha kujiunga nacho, kwani baada ya kuvua gamba, CCM ni safi.
Na kwa msiomjua nyoka, kumbe sumu ya nyoka, iko kwenye gamba!, nyoka akishajivua gamba, anakuwa hana sumu tena, huyo ni nyoka wa kumkaribia hata kumchezea kama yale majoka wa Kibisa!.
Shime tujiunge na CCM safi, CCM Mpya kwa wingi! na humu jukwaani tujaze posti za shangwe na mapambio kuisifu CCM, ili ipendeke baada ya kujivua gamba.
Pasco.
Tujiunge na nini? Jiheshimu mtu wangu.
Naloli, tangu nimeposti hii post, imeshachangiwa posti 25, hii posti yako ndio ya kwanza inayotoa majibu ya hicho ninachouliza. Thanks for that, ila pia inanisaidia mimi kuelewa level ya uelewa wa wana jf wa kisasa vinginevyo ukimwaga nondo za kufa mtu humu jf, unaweza vuna mabua (matusi na kejeli).MKUU PASCO upo sawa kabisa, yaani kwa umri tulio nao tunaaminishwa kuwa sumu ya nyoka ipo kwenye gamba hivyo nyoka akishalivua gamba unaweza cheza nae BLUES kama nyoka wa KIBISA. Eti CCM imekuwa mpya yaani kwa kumtoa ROSTAM na CHENGE katika CC na kuwapa siku 90 kupima kama waendelee ktk uongozi au la ndio chama kuwa kipya na kimejisafisha? Hivi kweli JK na CCM yake wanataka kutuaminisha kuwa nchi hii MAFISADI ni RA, EL NA MZEE WA VIJISENTI TU? Basi kama wao ndio mafisadi pekee na ndio tatizo ndani ya CCM kweli nakubaliana na kauli ya MAREHEMU KOLIMBA kuwa CCM imepoteza DIRA na MUELEKEO ndio maana wamerukia HOJA ya CDM ya vita vya UFISADI na KATIBA MPYA na kutaka kuzibinafsisha kuwa ni HOJA zao halafu kama ilivyo ADA WAZICHAKACHUE na kuibuka na HITIMISHO la AJABU kwa TAIFA. NINI kujivua GAMBA hata wakijichuja DAMU, hao ni walewale tukumbuke HATA SIKU MOJA SHETANI AKIZEEKA HAGEUKI KUWA MALAIKA.