STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Hii janja ya CCM kutufunga macha waTZ haikubaliki hata siku moja. Ukijaribu kuona wanachokifanya ni kwamba wanawabembeleza kina RA, EL na Chenge na wengine watoke kwenye Chama ili tu kuwa full waTZ nasema hii haikubaliki. Eti sijawahi kusikia wakiwaambia watoke kwenye Serikali au wafilisiwe kutokana na Kutupiga hela nyingi sana.
Embu angalia, hawa jamaa wote wametupiga hela nyingi sana wakiwa nje ya CCM mfano rostam amepiga hela za serikali akiwa nje ya CCM, Tanil Somaiya anapiga sana hela zaserikali lakini yuko nje ya CCM, Manji anapiga sana hela za serikali ila yuko nje ya serikali.
Angalia timu yote ya EPA iko nje ya CCM na Serikali lakini wanapiga sana hela zetu. Watanzania tuamke na kuiunga mkono harakati za CDM ili kuhakikisha CCM inakuwa chama cha upinzani na hatimaye hawa jamaa wafikishwe mahakamani.
Peoples power
Embu angalia, hawa jamaa wote wametupiga hela nyingi sana wakiwa nje ya CCM mfano rostam amepiga hela za serikali akiwa nje ya CCM, Tanil Somaiya anapiga sana hela zaserikali lakini yuko nje ya CCM, Manji anapiga sana hela za serikali ila yuko nje ya serikali.
Angalia timu yote ya EPA iko nje ya CCM na Serikali lakini wanapiga sana hela zetu. Watanzania tuamke na kuiunga mkono harakati za CDM ili kuhakikisha CCM inakuwa chama cha upinzani na hatimaye hawa jamaa wafikishwe mahakamani.
Peoples power