Pasco,
Mimi nitaamini kama kweli CCM wako serious..nikiona wanawachukulia hatua za kisheria wale wote waliotuibia and I mean Lowassa, RA, Chenge and company. But for now, I think its simply a ploy to insult intellectual ability za watanzania! To be honest, CCM must come out clean watu walioiba pesa za wananchi sio tuu waadhibiwe lakini kwanza wazirudishe! Then I will reinstate my faith in CCM politics. But for now? Hapana...
hakiya nani bado sijiungi nao kuna Gamba moja linaitwa Jakaya Mrisho Kikwete likitoka mimi na ukoo wangu wote tutajiunga na CCM