Jaman hii nchi inasikitisha, kama waziri wa Elimu anakuja na mpya bila kushirikisha wadau na taasisi za Elimu kuhusu mwanafunzi akimaliza std 7 avuke aingie moja kwa moja kidato cha nne. Hii ni kama ya Mungai kufuta michezo.
Wewe waziri shirikisha wadau jamani. Me naomba tushirikishe wadau haya masuala tusitumie siasa harafu baadae tuanze kulalamika. Hivi hii JK anasemaje??
Wewe waziri shirikisha wadau jamani. Me naomba tushirikishe wadau haya masuala tusitumie siasa harafu baadae tuanze kulalamika. Hivi hii JK anasemaje??