Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Naona hapa hamuelewani. Kwa nilivyoelewa swali na majibu kwa ujumla ni hivi:
V Kamata angeliweza kuwa Diwani wa Mbeya kama tu CCM (Chama chake) wangeliwajulisha Halmashauri ya Mbeya kuwa atakuwa Diwani wao kwa msimu huu wa bunge 2010 - 2015. Ila akishatambulishwa Mbeya, basi inakuwa imetoka na hawezi tena kubadilisha na kuwa wa Geita.
Regia angeliweza kuwa Diwani wa Dar es salaam, Dodoma au Kilombero na hata wa SIKONGE kwetu huku.
Ila yeye mwenyewe kwa UTASHI wake, aliamua kuwa wa Kilombero ingawa Katiba inamruhusu awe wa POPOTE pale Tanzania. Huu ndiyo nasema upuuzi wa Katiba hii na utatanishi wa Wabunge/madiwani wa kuchaguliwa.
Kibaya zaidi ni kuwa sijui watawezaje kuwa wakishiriki Vikao vya Bunge, halmashauri zao na kuwaona wananchi wao? Labda ndiyo maana Regia alilalamika kuwa majukumu ni mengi sana na akina Kiranga wakamwijia juu. Mtu kama Zitto anakuwa ni kasheshe zaidi maana unamkuta kwenye tume za bunge, udiwani, Naibu katibu wa chama, Bunge ............. Ndyo maana mambo yanakwenda shaghala baghala kwa Tanzania yetu ile. Mtu mmoja vyeo kibaoo.
V Kamata angeliweza kuwa Diwani wa Mbeya kama tu CCM (Chama chake) wangeliwajulisha Halmashauri ya Mbeya kuwa atakuwa Diwani wao kwa msimu huu wa bunge 2010 - 2015. Ila akishatambulishwa Mbeya, basi inakuwa imetoka na hawezi tena kubadilisha na kuwa wa Geita.
Regia angeliweza kuwa Diwani wa Dar es salaam, Dodoma au Kilombero na hata wa SIKONGE kwetu huku.
Ila yeye mwenyewe kwa UTASHI wake, aliamua kuwa wa Kilombero ingawa Katiba inamruhusu awe wa POPOTE pale Tanzania. Huu ndiyo nasema upuuzi wa Katiba hii na utatanishi wa Wabunge/madiwani wa kuchaguliwa.
Kibaya zaidi ni kuwa sijui watawezaje kuwa wakishiriki Vikao vya Bunge, halmashauri zao na kuwaona wananchi wao? Labda ndiyo maana Regia alilalamika kuwa majukumu ni mengi sana na akina Kiranga wakamwijia juu. Mtu kama Zitto anakuwa ni kasheshe zaidi maana unamkuta kwenye tume za bunge, udiwani, Naibu katibu wa chama, Bunge ............. Ndyo maana mambo yanakwenda shaghala baghala kwa Tanzania yetu ile. Mtu mmoja vyeo kibaoo.
Mkuu hata wewe kumbe unaweza kwenda low kiasi hiki? Nisaidie hicho kipengele cha katiba. Tuendelee kufunzana.