Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Huyu jamaa ni hopeless kabisa hajui maana ya uchaguzi.
Huyu ni pupet wa CCM, political commissar and propagandist wa hicho chama tawala. Anaongea bila kufikiri kama ndugu yake.
Mpeni pole saana maana ukweli utajulikana siku si nyingi.