Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Hivi karibuni CCM wameanzisha kampeni 'chafu' kwa kuingilia maisha binafsi ya ndoa ya mgombea urais wa CHADEMA, Dr. Slaa.
Hivi kama kigezo ni hiko huyu JK alistahili hata kuwa waziri?
CCM Ondoeni kwanza Boriti jichoni kwa mgombea wenu kabla ya kutolea mimacho kibanzi kwenye jicho la mgombea wa wapinzani wenu.
Hivi kama kigezo ni hiko huyu JK alistahili hata kuwa waziri?
CCM Ondoeni kwanza Boriti jichoni kwa mgombea wenu kabla ya kutolea mimacho kibanzi kwenye jicho la mgombea wa wapinzani wenu.