CCM & TLP zang'ara chadema hoi bin tabani Arumeru East

shykwanza

Senior Member
Nov 28, 2011
156
30
Kampeni za uchaguzi ndani ya jimbo la arumeru zimepamba moto huku upepo wa kisiasa ukivuma vibaya kwa chadema baada ya kupoteza mvuto kwa kasi ya ajabu ndani ya Jimbo la arumeru. Aidha kwasasa ushindani mkali wa kuwania kiti hicho umebaki kwa vyama vya CCM na TLP. Chama cha TLP kimetamba kuongeza mbunge wa pili katika bunge la Tanzania baada ya kuanza kukubalika kwa kasi na wakazi wa jimbo la arumeru.

Chadema ambayo kwasasa viongozi wake wakuu wanakabiliwa na tuhuma nzito ya ufisadi imekosa sera na mwelekeo na kubaki kunadi kauli mbiu yake ya peoples power ambayo imewachosha wakazi wa arumeru.
 
Nduguyangu Ukweli ujitenga na uongo. Tutapata jibu siku Wameru watakapo piga kura. tunasubiri.
 
Kampeni za uchaguzi ndani ya jimbo la arumeru zimepamba moto huku upepo wa kisiasa ukivuma vibaya kwa chadema baada ya kupoteza mvuto kwa kasi ya ajabu ndani ya Jimbo la arumeru. Aidha kwasasa ushindani mkali wa kuwania kiti hicho umebaki kwa vyama vya CCM na TLP. Chama cha TLP kimetamba kuongeza mbunge wa pili katika bunge la Tanzania baada ya kuanza kukubalika kwa kasi na wakazi wa jimbo la arumeru.

Chadema ambayo kwasasa viongozi wake wakuu wanakabiliwa na tuhuma nzito ya ufisadi imekosa sera na mwelekeo na kubaki kunadi kauli mbiu yake ya peoples power ambayo imewachosha wakazi wa arumeru.

Message send but not delivered.
Push it tolk!!!
 
Kampeni za uchaguzi ndani ya jimbo la arumeru zimepamba moto huku upepo wa kisiasa ukivuma vibaya kwa chadema baada ya kupoteza mvuto kwa kasi ya ajabu ndani ya Jimbo la arumeru. Aidha kwasasa ushindani mkali wa kuwania kiti hicho umebaki kwa vyama vya CCM na TLP. Chama cha TLP kimetamba kuongeza mbunge wa pili katika bunge la Tanzania baada ya kuanza kukubalika kwa kasi na wakazi wa jimbo la arumeru.

Chadema ambayo kwasasa viongozi wake wakuu wanakabiliwa na tuhuma nzito ya ufisadi imekosa sera na mwelekeo na kubaki kunadi kauli mbiu yake ya peoples power ambayo imewachosha wakazi wa arumeru.

Unadhani tutakuonea huruma! hamna jinsi ccm mtaparamiwa tu!
 
Kampeni za uchaguzi ndani ya jimbo la arumeru zimepamba moto huku upepo wa kisiasa ukivuma vibaya kwa chadema baada ya kupoteza mvuto kwa kasi ya ajabu ndani ya Jimbo la arumeru. Aidha kwasasa ushindani mkali wa kuwania kiti hicho umebaki kwa vyama vya CCM na TLP. Chama cha TLP kimetamba kuongeza mbunge wa pili katika bunge la Tanzania baada ya kuanza kukubalika kwa kasi na wakazi wa jimbo la arumeru.

Chadema ambayo kwasasa viongozi wake wakuu wanakabiliwa na tuhuma nzito ya ufisadi imekosa sera na mwelekeo na kubaki kunadi kauli mbiu yake ya peoples power ambayo imewachosha wakazi wa arumeru.
Sasa wewe huna hata maana Tlp nacho ni chama jamani , embu jaribuni kuwa serious
 
Miaka 50 madarakani, 36% ya watanzania ni maskini wa kutupwa hata mlo mmoja kwa siku ni shida, 40% ya bajeti inatoka kwa wafadhili, watu wanalala kwenye mbavu za mbwa, nchi inabakia mashimo, wakubwa wananunuliwa suti, mama wajawazito wanajifungulia sakafuni, 80 ya wanafunzi wa kidato cha IV wamefeli, ndege za kivita zinaingia nchini na kuchukua wanyama hai lakini wakubwa wako kimya ..... lakini bado CCM wanaamini ndio wenye haki na uwezo wa kuongoza?

Huko Arumeru nimewaona Ole Sendeka na Steven Wassira wakiwambia wananchi kuwa mgombea wa ccm atatatua tatizo la ajira kwa vijana! Jimboni kwa Ole Sendeka un-employment ni 100% mbona hajatatua? Wassira amepeleka ajira ngapi huko kwake?

Kama taifa hatuwezi kutatua matatizo tuliyonayo kwa kukumbatia mfumo ule ule, mawazo yale yale na watu wale wale waliyoyasababisha. Na baada ya miaka 50 hakuna lisilojulikana kuhusu CCM! Na kwa kwa hiki chama (CCM) kufungua kinywa na kukashifu chama kingine ni kuwakosea adabu watanzania.
 
Sasa wewe huna hata maana Tlp nacho ni chama jamani , embu jaribuni kuwa serious
huyu jamaa anamatatizo anajaribu kutufanya sisi n watoto, mzee wa kiraracha mwenyewe kachoko yuko hoi! Eti unalinga nsha kifo na usingiz (TLP NA CHADEMA)ndugu tumia angalau common thnking bila y shule akil!vp?au umelewa unga wandere wa magamba?
 
shy (AIBU) kwanza ona sasa umeishia kutia aibu hadharani... asante kwa sredi yako isiyo na mvuto...
 
Kampeni za uchaguzi ndani ya jimbo la arumeru zimepamba moto huku upepo wa kisiasa ukivuma vibaya kwa chadema baada ya kupoteza mvuto kwa kasi ya ajabu ndani ya Jimbo la arumeru. Aidha kwasasa ushindani mkali wa kuwania kiti hicho umebaki kwa vyama vya CCM na TLP. Chama cha TLP kimetamba kuongeza mbunge wa pili katika bunge la Tanzania baada ya kuanza kukubalika kwa kasi na wakazi wa jimbo la arumeru.

Chadema ambayo kwasasa viongozi wake wakuu wanakabiliwa na tuhuma nzito ya ufisadi imekosa sera na mwelekeo na kubaki kunadi kauli mbiu yake ya peoples power ambayo imewachosha wakazi wa arumeru.

this kind of spam....directly trashed;
 
Kampeni za uchaguzi ndani ya jimbo la arumeru zimepamba moto huku upepo wa kisiasa ukivuma vibaya kwa chadema baada ya kupoteza mvuto kwa kasi ya ajabu ndani ya Jimbo la arumeru. Aidha kwasasa ushindani mkali wa kuwania kiti hicho umebaki kwa vyama vya CCM na TLP. Chama cha TLP kimetamba kuongeza mbunge wa pili katika bunge la Tanzania baada ya kuanza kukubalika kwa kasi na wakazi wa jimbo la arumeru.

Chadema ambayo kwasasa viongozi wake wakuu wanakabiliwa na tuhuma nzito ya ufisadi imekosa sera na mwelekeo na kubaki kunadi kauli mbiu yake ya peoples power ambayo imewachosha wakazi wa arumeru.

Kweli kichaa sio lazima aokote makopo hata hu jf tunao wengi kama huyu jamaa,hivi wewe unajielewa au?,mimi nipo Arumeru nafuatilia Kampeni A to Z,Chadema kila sehemu ni Shangwe na CCM ni aibu mpaka wanalazimika kuahilisha baadhi ya mikutano,we unaongea nini wewe?
Acha kupotosha umma,zungumza ukweli.Jamani eeh,ukweli ni kwamba CDM wanakubalika kupita maelezo...
CCM wanazomewa kila wanapokatiza.Mnawapa kazi kweli madereva mlio waajiri maana wataathirika kisaikolojia kwa kuzomewa...
 
wanacho kifanya TLP ni kuogopa kushtakiwa kwa kutotukia hela za ruzuku za kampeni.Mrema anajua kamwe hatashinda,ww jamaa ni kichaa na ninawasiwasi ni mtoto ama jamaa ama ndugu na Gamba fulani linakupakupa vidili...
 
waambieni viongozi wenu wajibu tuhuma za ufisadi zinazowakabili na sio kujamba jamba hapa jukwani
 
Shykwanza = akili ya maiti = ccm = chama cha majinga. Baada ya mwigulu 'kukutumia' naona unatimiza shart lake la mwisho!
 
Kampeni za uchaguzi ndani ya jimbo la arumeru zimepamba moto huku upepo wa kisiasa ukivuma vibaya kwa chadema baada ya kupoteza mvuto kwa kasi ya ajabu ndani ya Jimbo la arumeru. Aidha kwasasa ushindani mkali wa kuwania kiti hicho umebaki kwa vyama vya CCM na TLP. Chama cha TLP kimetamba kuongeza mbunge wa pili katika bunge la Tanzania baada ya kuanza kukubalika kwa kasi na wakazi wa jimbo la arumeru.

Chadema ambayo kwasasa viongozi wake wakuu wanakabiliwa na tuhuma nzito ya ufisadi imekosa sera na mwelekeo na kubaki kunadi kauli mbiu yake ya peoples power ambayo imewachosha wakazi wa arumeru.

mimi ni mkazi wa Arumeru mbona hilo halipo huku na watu wanaichukia ccm ile mbaya. Acha kuandika umagamba wako hapa na upeleke usho.ga wako huko.
 
Kweli chama cha ma.ga.mba,mafsadi, majinga, yakulala bungeni yanatia aibu.. You will never change the reality
 
Kampeni za uchaguzi ndani ya jimbo la arumeru zimepamba moto huku upepo wa kisiasa ukivuma vibaya kwa chadema baada ya kupoteza mvuto kwa kasi ya ajabu ndani ya Jimbo la arumeru. Aidha kwasasa ushindani mkali wa kuwania kiti hicho umebaki kwa vyama vya CCM na TLP. Chama cha TLP kimetamba kuongeza mbunge wa pili katika bunge la Tanzania baada ya kuanza kukubalika kwa kasi na wakazi wa jimbo la arumeru.

Chadema ambayo kwasasa viongozi wake wakuu wanakabiliwa na tuhuma nzito ya ufisadi imekosa sera na mwelekeo na kubaki kunadi kauli mbiu yake ya peoples power ambayo imewachosha wakazi wa arumeru.

Ni kweli kabisa Chadema imepoteza mvuto Arumeru, lakini umekosea jambo moja.....watu wote wanajaa kwenye mikutano ya CUF na NCCR; sio CCM wala TLP, na kuna tetesi kuwa mgombea wa CDM anataka kuhamia CUF na wa CCM atahamia NCCR, hebu endelea kutujuza juha wewe
 
Back
Top Bottom