CCM & TLP zang'ara chadema hoi bin tabani Arumeru East

mimi ni mkazi wa arumeru mbona hilo halipo huku na watu wanaichukia ccm ile mbaya. Acha kuandika umagamba wako hapa na upeleke usho.ga wako huko.


kubanwa na mkojo ni kero ,hupati amani.ukakojoe urudi........

Darasa la ngapi sasa...magamba mkubwa wewe.
 

Chadema ambayo kwasasa viongozi wake wakuu wanakabiliwa na tuhuma nzito ya ufisadi imekosa sera na mwelekeo na kubaki kunadi kauli mbiu yake ya peoples power ambayo imewachosha wakazi wa arumeru.

Unatafuta bwn?
 
Kampeni za uchaguzi ndani ya jimbo la arumeru zimepamba moto huku upepo wa kisiasa ukivuma vibaya kwa chadema baada ya kupoteza mvuto kwa kasi ya ajabu ndani ya Jimbo la arumeru. Aidha kwasasa ushindani mkali wa kuwania kiti hicho umebaki kwa vyama vya CCM na TLP. Chama cha TLP kimetamba kuongeza mbunge wa pili katika bunge la Tanzania baada ya kuanza kukubalika kwa kasi na wakazi wa jimbo la arumeru.

Chadema ambayo kwasasa viongozi wake wakuu wanakabiliwa na tuhuma nzito ya ufisadi imekosa sera na mwelekeo na kubaki kunadi kauli mbiu yake ya peoples power ambayo imewachosha wakazi wa arumeru.

Naamini wewe umeota unabusiwa na kutekenywa na Ole Sendeka na Wasira ambao sasa wanashindwa hata kugeuka kutokana na kuzidiwa uzito wa matumbo yao. Sendeka hana alichokifanya simanjiro bali kuongeza ukubwa wa tumbo. Wasira kazi yake ni kulala bungeni hata na kutoa udenda huyo watu wa Bunda wajute kwa kosa walilofanya 2010. Gen. Sarakikya nakusikitikia kuunga mkono watu waliokusaliti takriban miaka 30 au amaeanza kufilisika? WEWE HUNA MAANA.....
 
Ni kweli mkuu tarehe 01.04.2012 ndiyo msema kweli,hizi zingine zote ni mbwembwe ambazo hazina mashiko.Naunga mkono hoja
 
Mkurugenzi wa Habari na uenezi wa JF CCM
CCM hatupo tayari kuikabidhi nchi kwa wanyang'anyi, waporaji, wahuni na vibaraka wa ukoloni CHADEMA


Hiyo signature yako inadhihirisha wazi kuwa mtakabidhi nchi kwa CHADEMA karibuni.....mnachofanya sasa ni kuadapt sera za Mugabe vs MDC!
 
Naamini wewe umeota unabusiwa na kutekenywa na Ole Sendeka na Wasira ambao sasa wanashindwa hata kugeuka kutokana na kuzidiwa uzito wa matumbo yao. Sendeka hana alichokifanya simanjiro bali kuongeza ukubwa wa tumbo. Wasira kazi yake ni kulala bungeni hata na kutoa udenda huyo watu wa Bunda wajute kwa kosa walilofanya 2010. Gen. Sarakikya nakusikitikia kuunga mkono watu waliokusaliti takriban miaka 30 au amaeanza kufilisika? WEWE HUNA MAANA.....
Wewe acha matusi jenga hoja zenye mashiko matusi kila mtu anajua ila siyo utamaduni wa watz walio wengi na waliobahatika kupata malezi ya wazazi wawili yaani baba na mama inaonekana ndugu ya ni mtoto wamtaani yaani chokolaa
 
Kampeni za uchaguzi ndani ya jimbo la arumeru zimepamba moto huku upepo wa kisiasa ukivuma vibaya kwa chadema baada ya kupoteza mvuto kwa kasi ya ajabu ndani ya Jimbo la arumeru. Aidha kwasasa ushindani mkali wa kuwania kiti hicho umebaki kwa vyama vya CCM na TLP. Chama cha TLP kimetamba kuongeza mbunge wa pili katika bunge la Tanzania baada ya kuanza kukubalika kwa kasi na wakazi wa jimbo la arumeru.

Chadema ambayo kwasasa viongozi wake wakuu wanakabiliwa na tuhuma nzito ya ufisadi imekosa sera na mwelekeo na kubaki kunadi kauli mbiu yake ya peoples power ambayo imewachosha wakazi wa arumeru.

Umejuaje CDM wanatumia kauli ya peoples power?
 
taarifa zisizo rasmi mkurugenza wa habari na uenezi JF CCM shykwanza amepigwa Ban isiyo na kikomo
 
Shykwanza,Umeonyesha kiwango chako cha masaburi.Huna data huna right ya kujenga hoja.TLP na CDM? unatumia comperison ipi?Old school CCM hawana jipya.Karibu Arumeru uone kazi ya CDM
 
kakojoe ulale au umeshalowanisha godoro?

this militant-fundamental tendecies of CDM leaders and supporters acting like a cult more than a political party is what makes many moderate democrats and progressive reformist to stay away from CDM and its politics. The worst is that these progressive reformist are independents and are middle class citizens of this country, ( a segement of population that is more likely to bring the real change by adding their voice to the cause of 2nd liberation of Tanzania). Alienation of these people by this ultra-defensive and dictatorial tendencies of CDM and its supporters is more likely to keep CDM as a noise maker and a near challenger of CCM hegemony in tz politics and nothing else.

Many independents like myself and many more in CCM, who are tired of their party find themselves with less choices as political parties in tz increasingly privatize their inner politics in common line with cult groups or organized crime groups.Tanzanian democratic project has never looked this futile.
 
waambieni viongozi wenu wajibu tuhuma za ufisadi zinazowakabili na sio kujamba jamba hapa jukwani

mbona wenzako wa ccm magamba wajibu tuhuma ambazo mwenyewe unazifahamu na ziko wazitena zenye ushahidi zaidi ya kulindana...usitake kutuaminisha kuwa viongozi wetu hawafai ili tuache kufikiri hoja za msingi, unataka wakujibu wewe usiye na hoja. CHADEMA hamuiwezi
 
Kampeni za uchaguzi ndani ya jimbo la arumeru zimepamba moto huku upepo wa kisiasa ukivuma vibaya kwa chadema baada ya kupoteza mvuto kwa kasi ya ajabu ndani ya Jimbo la arumeru. Aidha kwasasa ushindani mkali wa kuwania kiti hicho umebaki kwa vyama vya CCM na TLP. Chama cha TLP kimetamba kuongeza mbunge wa pili katika bunge la Tanzania baada ya kuanza kukubalika kwa kasi na wakazi wa jimbo la arumeru.

Chadema ambayo kwasasa viongozi wake wakuu wanakabiliwa na tuhuma nzito ya ufisadi imekosa sera na mwelekeo na kubaki kunadi kauli mbiu yake ya peoples power ambayo imewachosha wakazi wa arumeru.

siku zote watu wenye element za kike utawajua tu, yani huoni hata haibu kuandika u.s.e.n.g.e na ukameruni wako humu jua kwamba nina wasiwasi na suruali zako. ndo tatizo lenu watu maskini kama nyie siku zote huwa mnatumia ubakwata wenu kuexpress ujinga wenu. kafie mbele hukoooooooooooooooooooo:A S-frusty2::crazy::lock1::peep::mullet::hand::spider::A S crown-2::redface::lock1:
 
Eheee unaiwaza chadema?utaolewa na mchademas badala ya yule kuwadi wa magamba kwenye jukwaa!
 
Nakubaliana na jamaa alieongea English tupu apo juu. Sijui kasemaje lakini nakubaliana nae 100 percent. Peoples power
 
Back
Top Bottom