CCM Mwanza haijatulia

kweli ccm imejaa rejects,hadi huyu ? Mwizi maarufu toka niko darasa la kwanza pale nyamagana miaka hiyo ? Lol. Ccm is like music, no matter what the music changes,it keep on dancing !

umenifurahisha mkuu kumbe nyamagana product kwa mwl.paschal hehehe nakupa tano huko ulipo
 
kas_28279-1609-2-30_90.jpg


Wakitaka kutulia vizuri inabidi waombe ushauri kwa Dr. Slaa atawasaidia sana vinginevyo wataendelea kujichanganya tu.
 
Jamaa wa Magnum alikuwa anaitwa Mamata na walikuwa kundi moja na wahaya fulani jina sina na Polly mwenyekiti wa Misungwi akiwemo.

Huyo polly sina shaka ni benard poli kam ni yeye. alikuwa ni kibaka aliyejipendekeza vibaya sana kwa magnum(matata) mpaka akafanikiwa kuingia kwenye genge hilo. sasa huu mtandao unaongoza ccm mwanza ni last chapter kwa chama hicho...let us see this drama.
 
Back
Top Bottom