Mo-TOWN
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,721
- 515
KWA TAARIFA TU NI KUWA LEMA AMESHINDA Lakini kinachoendelea ni kutaka kumpoka ushindi.
Nawafahamisha Watanzania kuwa iwapo Batilda atatangazwa mshindi wa Ubunge Arusha mjini mjue kabisa kuwa utulivu wa nchi hii utavunjikia Arusha period. WanaArusha kupitia balot have spoken lakini mamlaka haitaki kukubali hiyo fact. Mark my world!!Lets hope wafuata matakwa ya wananchi.
Nawafahamisha Watanzania kuwa iwapo Batilda atatangazwa mshindi wa Ubunge Arusha mjini mjue kabisa kuwa utulivu wa nchi hii utavunjikia Arusha period. WanaArusha kupitia balot have spoken lakini mamlaka haitaki kukubali hiyo fact. Mark my world!!Lets hope wafuata matakwa ya wananchi.