Wapendwa wanajamii,
mwaka jana nilionda BAshe akivuliwa ushindi wa kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM kisa si mtanzania, Je leo imekuwaje CCM inampa kazi mtu asiye raia kuratibu uhai wa chama hicho? Inaudhi sana.
Wapendwa wanajamii,
mwaka jana nilionda BAshe akivuliwa ushindi wa kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM kisa si mtanzania, Je leo imekuwaje CCM inampa kazi mtu asiye raia kuratibu uhai wa chama hicho? Inaudhi sana.
Kwani kuna mtanzania anaweza kufanya kazi aliyopewa Msomali Bashe?
Kwani kuna Mtanzania anaweza kufanya kazi anayofanya Msomali Kinana - Kampeni Manager.
Kwani hawa sio watanzania?
Mbona Kiduku makamb alimhalalisha Bashe kuwa mtanzania kama waziri wa mambo ya ndani baada ya kuona kuwa amedanganya umma wa tanzania kuwa si mtanzania ?kwani alikosea?si alitumia sheria za hapahapa tz.?
ehh..ehh..aroo...aroo heb amkenyi kweli..au bado mmelala.
Kwani nani asiyejua kuwa Tanzania tunachagua wageni kuongoza hii nchi kwa vijisent na T-Shirt na Kofia za Mo'd Interprise na big-G za Dewji kule Singida?wote hao ni watanzania wazawa halisi nani atabisha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.