CCM inacheza ngoma ya CHADEMA

MKWECHE

JF-Expert Member
Apr 8, 2011
299
64
Nilihidhuria mkutanao wa Hadhara wa CDM hapa Iringa ambao ulikuwa mwezi May mwaka huu!
Katika mkutano Ule Msemaji mmoja wa Chadema alisema CCM imekuwa ikicheza Ngoma ya Chadema!
Nimetafakari sana Kauli ile sasa naanza Kuamini kwa Mbaali!
1) Ufisadi hili jambo liliibuliwa na viongozi wa Chadema enzi zilee mwembechai wakiongozwa na Dr.Slaa leo ni Mtaji kwa CCM!(Kujivua Magamba)
Hadi wanasema waliotajwatajwa hata bila Ushahidi ni Mafisadi na wataondoka!
2) Maandamano-Yalionekana hayana Tija,Uvunjifu wa Amani na Kupotezea wananchi muda wa maendeleo,leo maandamano Mtaji mpya ya Mbeya tumeyaona na nasikia inafata Arusha baada ya Mbeya!

Mie Mkweche Najiuliza Lile Genge Linalojinasibu linatumia Akili Kufikiri na Sio Tumbo kwanini halitumii hizo Akili zao kuja na Kitu Kipya ili kuepuka Fedheha ya"Kopi endi Pesti"
Adhari ya Kuiga Mchezo wa Mwenzako ni yeye kujua zaidi mbinu za mchezo huo!
 
Nilihidhuria mkutanao wa Hadhara wa CDM hapa Iringa ambao ulikuwa mwezi May mwaka huu!
Katika mkutano Ule Msemaji mmoja wa Chadema alisema CCM imekuwa ikicheza Ngoma ya Chadema!
Nimetafakari sana Kauli ile sasa naanza Kuamini kwa Mbaali!
1) Ufisadi hili jambo liliibuliwa na viongozi wa Chadema enzi zilee mwembechai wakiongozwa na Dr.Slaa leo ni Mtaji kwa CCM!(Kujivua Magamba)
Hadi wanasema waliotajwatajwa hata bila Ushahidi ni Mafisadi na wataondoka!
2) Maandamano-Yalionekana hayana Tija,Uvunjifu wa Amani na Kupotezea wananchi muda wa maendeleo,leo maandamano Mtaji mpya ya Mbeya tumeyaona na nasikia inafata Arusha baada ya Mbeya!

Mie Mkweche Najiuliza Lile Genge Linalojinasibu linatumia Akili Kufikiri na Sio Tumbo kwanini halitumii hizo Akili zao kuja na Kitu Kipya ili kuepuka Fedheha ya"Kopi endi Pesti"
Adhari ya Kuiga Mchezo wa Mwenzako ni yeye kujua zaidi mbinu za mchezo huo!

:
:
Sasa jiulize nani anayekatika kiuno zaidi ili anogeshe na wasio tamani chama tena?
Ukipata jibu nitakugongea "THANKS"
 
Back
Top Bottom