Masakata
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 374
- 137
Kati ya vitu wanavyonikera viongozi wa CCM ni kusema serikali yao ni sikivu.
Sikivu wapi, toka lini tumewaeleza waache mashangingi na kuendekeza miposho ili pesa iende kwenye mambo ya maendeleo, tumeieleza wezi wa Kagoda, Meremeta na Deep green, wapelekwe mahakamani aah wapi! Nyumba za serikali zirudishwe, kimya; wezi wa rada washtakiwe na tofauti ya mishahara miongoni mwa tz itazamwe, kimya...etc..
Eti sikivu, hakuna lolote ULAGHAI tu!
Sikivu wapi, toka lini tumewaeleza waache mashangingi na kuendekeza miposho ili pesa iende kwenye mambo ya maendeleo, tumeieleza wezi wa Kagoda, Meremeta na Deep green, wapelekwe mahakamani aah wapi! Nyumba za serikali zirudishwe, kimya; wezi wa rada washtakiwe na tofauti ya mishahara miongoni mwa tz itazamwe, kimya...etc..
Eti sikivu, hakuna lolote ULAGHAI tu!