Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
hapana tena kubwa...CCM IMEJIIMARISHA ZAIDI NA ZAIDI......SI MIJINI TU KAMA CHADEMA BALI HATA VIJIJINI......! NCHI NZIMA CCM INARINDIMA NA IMEDHIHIRIKA KAULI YA NYERERE KUWA UPINZANI WA KWELI UTATOKA CCM BAADA YA WABUNGE ZAIDI YA 60 KUANGUSHWA KWENYE KURA ZA MAONI.........halafu wewe unasema imefanya vibaya zaidi kwa ushahidi wa habari ya gazeti?
Kama tungekuwa tunauliza kuhusu mtu, tungeuliza ana mpango gani? au tungesema mtu huyu hana mpango.
Sasa naweza kuuliza swali hilo hilo kwa CCM, ina mpango gani kwa Tanzania? Katika miaka mitano iliyopita kimefanyika nini? kuna mpango gani kuelewa 2015.......hakuna anayeweza kujibu swali hili kiukweli zaidi ya kupiga porojo na kuwadanganya watu. Vingozi wengi sasa wako madarakanbi kujineemesha na kutafuta u-spoonity, they are not really working.