Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Wadau,
Tumeshuhudia sisi wenyewe kwamba tangu JK na Makamba washike uongozi wa chama hiki kikongwe nchini, mwenendo wa chama hicho umezidi kudhoofika na kuwa wa hovyo hovyo tu -- ni kama vile hakuna uongozi kabisa wa kuweza kukemea wale wanaosababisha uhovyo huo.
Baadhi ya makada wa chama hicho wamefikia hadi kutishiana kuuwana kutokana na tamaa ya kufanya ulaji wa nchi (soma gazeti la Habari Leo la leo -- kuhusu waziri mmoja aliyeshindwa kura za maoni kutishiwa kuawawa).
Jee, hii si inamaananisha hitma ya CCM inakaribia?
Tumeshuhudia sisi wenyewe kwamba tangu JK na Makamba washike uongozi wa chama hiki kikongwe nchini, mwenendo wa chama hicho umezidi kudhoofika na kuwa wa hovyo hovyo tu -- ni kama vile hakuna uongozi kabisa wa kuweza kukemea wale wanaosababisha uhovyo huo.
Baadhi ya makada wa chama hicho wamefikia hadi kutishiana kuuwana kutokana na tamaa ya kufanya ulaji wa nchi (soma gazeti la Habari Leo la leo -- kuhusu waziri mmoja aliyeshindwa kura za maoni kutishiwa kuawawa).
Jee, hii si inamaananisha hitma ya CCM inakaribia?