Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Habari wana JF,
Nimekuwa nikifuatilia kwa kiasi mambo ya arumeru na nimeona machache ambayo ningependa ku share nanyi. Kwanza sikuamini kabisa kama Nassari angeshinda na haikuwa pendeleo langu. Lakini wananchi wa Arumeru wameongea na wao ndio wanaojua nani anawafaa. Nawapongeza kwa kupata mbunge aliyeshinda kwa tofauti kubwa ya kura.
Kwa CCM mlipokosea hapa
1. Siku ya ufunguzi wa kampeni Arumeru, mwenyekiti wenu (rais) alikuwa anaongea na wazee wa Da'slam, he stole the show vyombo vyote masikio yakawa Diamond, bad bad timing . Mistake number 1
2. Badala ya kupiga kampeni "the traditional way" kama mlivyozoea mkaamua muende "kichadema chadema", ni sawa na Barcelona anacheza na Man U halafu Barca wacheze pasi ndefu.
3.Button zenu zilipoguswa mka respond, na nyie mkaingia kwenye kampeni za kurushiana maneno yasiyofaa (advantage kwa Chadema)
4. Mmetumia muda mwingi kuongea "blah blah" badala ya kuzungumzia mafanikio ya chama chenu hapo Arumeru (Siwalaumu sana pengine mafanikio yenyewe hayapo)
5. Mkampeleka mzee Mkapa masikini ya mungu kufungua na kufunga kampeni ,ambaye si mzuri majukwaani halafu ni easy target......Ingekuwa ni busara zaidi kama mwenyekiti wenu angeenda kufungua au kufunga pengine ingeleta tofauti.
Kaeni mtafakari, mbinu zenu za mwaka 47 hazifanyi kazi leo.
Nimekuwa nikifuatilia kwa kiasi mambo ya arumeru na nimeona machache ambayo ningependa ku share nanyi. Kwanza sikuamini kabisa kama Nassari angeshinda na haikuwa pendeleo langu. Lakini wananchi wa Arumeru wameongea na wao ndio wanaojua nani anawafaa. Nawapongeza kwa kupata mbunge aliyeshinda kwa tofauti kubwa ya kura.
Kwa CCM mlipokosea hapa
1. Siku ya ufunguzi wa kampeni Arumeru, mwenyekiti wenu (rais) alikuwa anaongea na wazee wa Da'slam, he stole the show vyombo vyote masikio yakawa Diamond, bad bad timing . Mistake number 1
2. Badala ya kupiga kampeni "the traditional way" kama mlivyozoea mkaamua muende "kichadema chadema", ni sawa na Barcelona anacheza na Man U halafu Barca wacheze pasi ndefu.
3.Button zenu zilipoguswa mka respond, na nyie mkaingia kwenye kampeni za kurushiana maneno yasiyofaa (advantage kwa Chadema)
4. Mmetumia muda mwingi kuongea "blah blah" badala ya kuzungumzia mafanikio ya chama chenu hapo Arumeru (Siwalaumu sana pengine mafanikio yenyewe hayapo)
5. Mkampeleka mzee Mkapa masikini ya mungu kufungua na kufunga kampeni ,ambaye si mzuri majukwaani halafu ni easy target......Ingekuwa ni busara zaidi kama mwenyekiti wenu angeenda kufungua au kufunga pengine ingeleta tofauti.
Kaeni mtafakari, mbinu zenu za mwaka 47 hazifanyi kazi leo.