Natafuta kiki
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 911
- 1,284
We mbuzi jike For sure huwa unatumia mavi kufikiriKm ameshinda kwa udanganyifu sioni tatizo
We mbuzi jike For sure huwa unatumia mavi kufikiriKm ameshinda kwa udanganyifu sioni tatizo
Watu wakiambiwa tume ya uchaguzi sio huru utasikia ni huru kwa sababu Rais anateua mwenyekiti kwa mujibu wa sheria. Sasa mtu kama Jecha tulitegemea awe neutral wakati anakadi ya ccm mfukoniMkuu hebu subiri kwanza kidogo nimtafakari huyu mzee anaetaka kujaribu bahati yake kule alikopelekaga mboga!View attachment 1486066
Kauli mbofu mbofu".... kwanza hana uhakika kama atashinda kura za maoni na inawezekana akashinda na bado nikamfuta, inategemea siku hiyo nimeamkaje..."
Tusome katikati ya mstari... "inawezekana akashinda na bado nikamfuta"
Mwenyekiti ana wagombea wake wa mfukoni, na wajumbe wa kura za maoni wasijisumbue.
Kumbe ni CCM ya Magu apo sawa ...maana Nilijua kua ni CCM ya wanaccm.Kuna principles nyuma yake ndio maana watu wanakatwa inaweza kuwa misimamo ya wagombea aiendani na itikadi ya chama, inaweza kuwa chama akielewi source za mapato yao, uwezo wao mdogo kutokana na changamoto za jimbo (sio majimbo yote unaweka tia maji tia maji) etc sio kwamba wanajikatia kuna sababu.
Kwenye CCM ya Magu walioteuliwa wametakiwa kutojiingiza huko kama wanataka kubaki kwenye nafasi za uteuzi (awajuzuiliwa). Kumbuka tu asilimia kubwa ya Ma RC, RAS, DC, DAS wengi ni makapi walioshindwa kura za maoni 2015 au vijana CCM inawao wapika, hizo nafasi wamepewa kiupendeleo there are scores of qualified ppl who have been overlooked wanajikuta wanawafundisha kazi mabosi ambao walitakiwa kuwa chini.
As far as Magu is concerned he has done them a favour vinginevyo wangekuwa wanaunga unga kitaa, kwa hiyo watulie. Kama awataki sawa hila yeye atachukua nafasi awape wengine. Na akiamka vibaya atawakata ata huko CCM pengine kwa mtazamo wake ni ungretful individuals (hila nina uhakika due process zitafuatwa).
Muda ukifika tutajua,kwa nini mmetoa fomu moja?wabakaji wa demokrasia CCMHangaikeni kwanza na chadema yenu, toka siku mwenyekiti alipochukua fomu wote mmekuwa baridi hata jina la Tundu lisu kimefutika kinywani mwenu.
Mpaka sasa hamjuini nani atapambana na Raisi magufuli. Mnategemea miujiza, yala maneno twende na tundu lisu mnaogopa kuyasema kwa sasa.
CCM mpya inakuja. Baada ya Novemba CCM asilia byebye!".... kwanza hana uhakika kama atashinda kura za maoni na inawezekana akashinda na bado nikamfuta, inategemea siku hiyo nimeamkaje..."
Tusome katikati ya mstari... "inawezekana akashinda na bado nikamfuta"
Mwenyekiti ana wagombea wake wa mfukoni, na wajumbe wa kura za maoni wasijisumbue.
Tofauti ni kwamba Mwenyekiti wa Chadema yeye hunyanyasa watuReturn Of Undertaker,
Nitajie chama kimoja tu unachokiona wewe kina hiyo unayoita demokrasia mm naona vyote kikiwemo hicho cha ccm sera zao ni zidumu fkra za Mwenyekiti.
Km ameshinda kwa udanganyifu sioni tatizo
Ungekuwa umesoma mambo ya leadership ungeelewa ni namna gani kiongozi ana influence direction ya taasisi katika muda wake.Kumbe ni CCM ya Magu apo sawa ...maana Nilijua kua ni CCM ya wanaccm.
Tuendelee kusoma ili tuwe wajinga zaidi
Ndio tunaona udikteta Tz hii sasa.".... kwanza hana uhakika kama atashinda kura za maoni na inawezekana akashinda na bado nikamfuta, inategemea siku hiyo nimeamkaje..."
Tusome katikati ya mstari... "inawezekana akashinda na bado nikamfuta"
Mwenyekiti ana wagombea wake wa mfukoni, na wajumbe wa kura za maoni wasijisumbue.
Huyo mtu anayechagua watu sahihi mbona amekuwa akiwafukuza hao watu sahihiDemokrasia ndo kiini Cha umaskini sababu ziko wazi kabisa Kuna wakati tukisema tutumie uchaguzi tu kumpata mtu atakae tuongoza tutakwama kwa sababu wataochaguliwa wanaweza kuwa sio watu sahihi Ila ni hitaji la wengi kwaio kwa kuliona ilo kura za maoni zinaweza kukupa nafasi ya Kwanza lakini tathimini ya kina ikifanyika ukaonekana sio mtu sahihi utatolewa atawekwa mtu sahihi kwa MASLAHI mapana ya taifa letu. JPM 2020-2025
Shangilia alipokuwa an a was high bulimia wapinzani, sasa ni zamu yao na bado. Wasubiri ashinde/atangazwe 2020 ndiyo watafahamu uzuri wa siri ya kumsukumizia MTU huko.".... kwanza hana uhakika kama atashinda kura za maoni na inawezekana akashinda na bado nikamfuta, inategemea siku hiyo nimeamkaje..."
Tusome katikati ya mstari... "inawezekana akashinda na bado nikamfuta"
Mwenyekiti ana wagombea wake wa mfukoni, na wajumbe wa kura za maoni wasijisumbue.
CC: Bia yetu ; Magonjwa Mtambuka".... kwanza hana uhakika kama atashinda kura za maoni na inawezekana akashinda na bado nikamfuta, inategemea siku hiyo nimeamkaje..."
Tusome katikati ya mstari... "inawezekana akashinda na bado nikamfuta"
Mwenyekiti ana wagombea wake wa mfukoni, na wajumbe wa kura za maoni wasijisumbue.
Hupitwiiiii!Unamaanisha sisi Chadema tutashinda?
Muda ukifika tutajua,kwa nini mmetoa fomu moja?wabakaji wa demokrasia CCM
Kama huoni tatizo basi hili liwe mwendelezo kwa ngazi zote na kila hatua itakayo onekana kughubikwa na udanganyifu wa aina hiyoKm ameshinda kwa udanganyifu sioni tatizo
Siku zinavyozidi kusonga nazidi kugundu uislamu kama..........Mkuu hebu subiri kwanza kidogo nimtafakari huyu mzee anaetaka kujaribu bahati yake kule alikopelekaga mboga!View attachment 1486066