Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Tunaposema ndani ya CCM kuna watu wanahujumiana au wanamhujumu Rais Samia hamtuelewi mambo yanaanza kuwa wazi sasa. Gazeti mama la chama haliwezi kuandika habari hii bila kuwa na mkono wa viongozi wakubwa ndani ya chama.

Mama shituka mapema you will thank me later.

FEA249CC-F992-4E75-B2A6-C3E29F457CA1.jpeg


PIA, SOMA:
- Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025
 
Back
Top Bottom