CCM/CUF washambulia Wanaharakati- CDM wapinga kupitisha Mswada wa Mapitio ya Katiba

Chadema ndio muna wasomi ila hamuwezi kupigana vita viwili wka wakati mmoja itakuaje leo Mupigane na CCM upande wa Pili pia mupigane na Chama Kikubwa cha Upinzani CUF munawa confuse Watanzania na kuwarudisha nyuma katika harakati za kupigania ktiba mpya ya Tanzania chagueni less eviil muunge nguvu ya kuleta mabadilik o Tanzania , Historia itakuaja kwuahukumu Chadema kwa kurudisha nyuma harakati za mchakato wa mabadiliko Tanzania na mwishoni umwagikaji wa Damu. Sio sisri CCM wanataka kuyateka mageuzi kwa mlango wa Nyuma ndio tukaona Viongozi waandamizi wa CCM Nape na Ridhwani wako nje kutafuta maon i ya vijana wa CCM . CCM sasa hivi wanataka kuwapoteza Viijana kwa kuja na wazo la kuunda umoja wa vijana wa Tanzania utakaoongozwa na wanaharakati wa CCM kwa kujifanya wao hawataki siasa za vyama na kuteka nguvu za vijana badala ya ku focus na kupigania katiba vijana watakua wanapiganai nafasi kwenye umoja wa Vijana unaoanza kuundwa nje ya nchi na watu kuanza kugawana vyeo kwa ushauri wa NApe na Ridhwani .
Chadema musikubali kufanya makosa makubwa kama waliofanya CCM leo Wana CCM hawautaki tena umaoja wa Vijana wao wanataka kuunda umoja wa Vijana wote wa Tanznaia ?
Tujiulize CCM imeuundwa 1977 imetawala kwam iaka lukuki walikua wapi kuwaundia Umoja wa Vijana watanzania kwa nini iwe leo ?
KWa nini CCM wawe wanafanya vikao vya siri kuhakikisha jambo hili linaaza kufanyiwa kazi Mikoani na Dar kwa wanaharakati wa CCM ?
Inakuaje Umoja wa Vijana wa Tanzania uwe Siri wakati unataka kuundwa kwa manufaa ya vijana wa Tanzania ?
 
Wanajua fika kwamba wakimpuguzia Rais madaraka mwisho wao utakuwa umetimia,
kwani chaguzi nyingi wamekuwa wakishinda because wao ndiyo wachezaji, waamuzi
na mashabiki.

JK anafahamu fika kwamba hakushinda 2010, hivyo kumpunguzia madaraka it is like to
shoot himself on foot. But one positive iko siku wataondoka na hiyo katiba mbovu
wanayoing'ang'ania sasa itawarudi na huyo JK hatasilimika!
 
Mahaba ya CUF kwa CCM yamejengwa zaidi kwenye udini,CUF ipo sana Pwani sawa na CCM inapendwa sana Pwani. Wakazi wengi wa Pwani ni wa dinin fulani. Utafiti (Source JF) unaonyesha mahaba ya watu wa pwani ni kukameruniana
 
TatiZo siyo rais kuwa na nguvu nyingi, tatizo ni CCM kuwa na asilimia nyingi mno ya wabunge. Hii ni ndoto ya kila rais.... hata Obama angekuwa na 80% ya congress, angekuwa very powerful.
 
Lazima waseme yote hayo maana wanamjua makali yake tangu zamani. Kama unakumbuka LEAT enzi zake na Rugemeleza Nshala jinsi walivyoipeleka puta serikali na mambo ya mauaji ya Bulyankulu ect.

Hao wabunge wapumbavu, kama hajui sheria ni vipi amewasaidia ktk legal na policy reviews kibao tena kwa donors kutoa mapesa ? Kinachiwaumiza ni kuona "kichwa" hicho sasa kipo Chadema.

Tena kwa kuchekesha na aibu kwa magamba, Naibu speaker akiwa wizara ya maliasili, anajua sana mavituz ya Lissu na jinsi wizara na serikali ilivyonufaika na kazi zake...!! Nenda just pale Ubalozi wa USA, au nenda USAID uwaambie Lissu ni kilaza km awatakupiga B52 !!

Wengine humu ni vilaza, hata hamjui historia za hawa wapiganaji, na jinsi ambavyo wameshachangia ktk nchi hii, ILA kwa vile mna hathari za kuwacaroonized, hamtaki hata kuchimbua, ili mradi yupo upinzani mnadhani ni sawa na akina Cheyo, waliokuwa wanajifanya wapinzani lakini njaa zilipoingia, wakanunuliwa kwa beer na wisky pale Etiens hotel na since then wanakenua tu na sharubu zao km pakajizi, na vipara km uwanja wa ndege Mwanza unaojaa maji kirahisi huku VDG akiwaongopea kuwa ule upo fiti na anajenga mwingine Bagamoyo ili kalumanzira waweze kusafiri kirahisi !!!
 
hivi kwa nini tunawanyenyekea hawa wa Zanzibar kiasi hiki? kuna faida gani tunapata kutokana na huu muungano wa kijinga?
Nataka kusema ni hang over ya kudumisha "Fikra za Mwenyekiti wa Chama" but then again mbona tumeweza ku repudiate misingi mikubwa ya Fikra za Mwenyekiti wa Chama kama Azimio la Arusha, Chama Kimoja na Usoshalisti? Mbona sasa hivi tuna udini na utajiri wa viongozi, kinyume na misingi ya zege iliyojengwa na Fikra za Mwenyekiti wa Chama, na imebomolewa.

Lakini katika legacy nzima ya Fikra za Mwenyekiti wa Chama, hili la Muungano na kubusu makalio ya Wazanzibar tumekataa kabisa kulitupa. Why? For the life of me I couldn't figure the hell out of that question.
 
unatafuta utamu wa mjadala au haki? Mjadala kama kuna fairnes sawa refa (bi kiroboto) wao, kwa idadi wao wengi mwisho wa cku wakipiga kura za ndio c ndo basi?
 
Alipokuwa NCCR-Mageuzi aliwahi kusikika akisema CCM ina UKIMWI. Leo aje atuambie ni lini imepona gonjwa hili hadi yeye arudi huko na kuanza 'kujamiiana' nayo!



Salaam wana JF,

Nimekuwa nikifuatilia matamshi ya waziri wa nchi sera na mahusiano ndugu (ingawa anapenda aitwe mheshimiwa) Stephen Wasira. amekuwa akiponda kila jambo linalopiganiwa na CHADEMA, na kupinga watu wengine akitumia kauli "wanajiona wazalendo kuliko wenzao".

Ni Stephen Wasira huyuhuyu wakati wa mfumo wa chama kimoja, alishinda kesi ya uchaguzi dhidi ya Joseph Sinde Warioba (waziri mkuu mstaafu), kwa madai waziri mkuu katika kampeni alitumia magari na vyombo vya serikali, kama walinzi n.k

CHADEMA katika uchaguzi wa mwaka jana walipolalamikia jambo hili, mtu huyu huyu aliibuka na kuwakejeli CHADEMA, kwamba pamoja na kuwa ni mgombea bado yeye ni rais wa Tanzania. Je, wakati akigombea ubunge ndugu warioba alikuwa amevuliwa uwaziri mkuu?

Baada ya kurudia uchaguzi Wasira akapoteza kwa warioba. Akakimbilia upinzani (NCCR - Mageuzi), akagombea ubunge 1995 kupitia NCCR ya mrema. Aliikandia sana CCM akiwa upinzani. Baada ya kuchemsha akiwa upinzani na kupelekea kuanguka vibaya NCCR - Mageuzi, akarudi CCM kimyakimya kupitia mgongo wa wanamtandao.

Wakambeba na pesa zao za kifisadi akaingia mjengoni 2005. Tangu aliporudi CCM kajifanya ndio mpiga debe mkubwa wa CCM na kuwaona wapinzani wa kweli kama ni wanafiki na maadui zake wakubwa. Mtakumbuka matamshi yake TBC kuhusu maandamano ya CHADEMA kanda ya ziwa.

Huyu bwana namfananisha na POPO, je ni ndege ama ni mnyama? Huo ndio ukigeugeu wa Stephen Wasira.

Nawasilisha.
 
Nipo njiani kuelekea nyumbani nikisikiliza Bunge, nastushwa na sentensi ya Mbunge kutoka Zanzibar anachangia kuhusu Muswada wa Katiba, mwanzoni ninadhani kuwa mjadala wa Muswada umefungwa kw akuwa karibu dakika tano Mwakilishi huyu anazungumzia CHADEMA. Aliponishangaza zaidi ni kuwa kule Znz yeye hajawahi sikia CHADEMA, kaja kuisikia huku Bara, na kuomba ichunguzwe uwepo wake!!!
Kwa mujibu wa Kanuni za Bunge hata anayeongoza kikao hamkumbushi kujadili hoja iliyopo mezani. Ameacha jamaa kajadili CHADEMA na hatimaye muda wake wa kuzungumza umeisha.
Swali langu nauliza hivi Chama kinaweza ku exist na kushiriki katika shughuli mbalimbali za kisiasa katika eneo lolote la nchi hii bila Msajili wa Vyama kuwa na ufahamu wowote (YAANI MPAKA UJE MUSWADA WA KATIBA NDIO KICHUNGUZWE UWEPO WAKE)?
 
Inabidi ashughulikiwe yeye na wenzake magwanda wanaolala mjengoni. Kwanza anawaza kutoa single yake nyingine ya kumsifu Jk
 
Kwamba wanamjadili, tena mtu ambaye hayupo ukumbini, ni kielelezo kwamba wanamgwaya. Tatizo moja la CCM ambalo limetufikisha hapa ni kudharau uwezo na taaluma. Hawataki useme unachokijua na kukiamini bali wanachotaka wasikie. Wanapenda na kuhusudu ujanjaujanja, kujikweza na kujibweza, unafiki, n.k. Mambo haya wameyafanya muda mrefu hadi yamezoeleka na kuonekana kana kwamba ndivyo inavyopaswa kuwa. Ni kwa sababu hii ikitokea mtu anayesema ukweli na kusimamia misingi wanamshangaa na wapo tayari wamzushie mambo ili aonekane hafai kwa jamii. Kwa unafiki walio nao wakikaa kwenye bar wakinywa na kula nyama mbuzi wanamsifia na kushangilia hotuba ya Tundu, lakini wanamkandia mbele ya kadamnasi huku roho zao zikiwasuta!

Hawatafanikiwa kumdhalilisha Tundu kwa sababu hajaanzia harakati bungeni. Wenye macho wamemwona na wenye masikio wamemsikia. Wenye akili wanamjua, kumuelewa na kumheshimu hata kabla hajawa mbunge.

Hakika hawamfahamu Tundu Lissu; huyu jamaa ni kichwa na anachokiongea anakielewa. Labda kwa wale ambao hawamfahamu vizuri Tundu Lissu, akiwa mwaka wa kwanza pale UDSM, alikua ni mwanafunzi pekee wa mwaka wa kwanza aliekua anaweza kusimama revo square, kuzungumza na kusikilizwa nawanafunzi wa miaka ya mbele yake. Lilikua jambo lisilowezakana kwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza kuzungumza pale. Lakini kutokana na uwezo wa kujenga hoja wa Tundu Lissu aliweza kuvunja huo mwiko!

Sasa nikiwasikiliza wabunge wa CCM wakimkandia huyu ndugu, hakika hawamfahamu!
 
Mimi huwa nashangaa hizi sheria zetu ziko je?

A convicted criminal anakuwa mbunge (Ismail Aden Rage)
A convicted corrupt guy anakuwa waziri (Steven Wassira)

Nchi za wenzetu ukishapatikana na kosa la jinai huruhusiwi kugombea
cheo chochote.

Juzi nimesikia kwamba MB. wa Mbarali amekuwa convicted kutishia kua na amelipa faini.
Hapa issue siyo adhabu aliyotumikia (ie kulipa faini) issue ni kwamba amepatikana na kosa
before the court of law Je anaendeleaje kuwa Mbunge?

Haya mambo pamoja na mengine mengi ndiyo yanatufanya tudai KATIBA MPYA. Jamaa
limepatikana na hatia ya kuua (wauuji wa Kombe) eti Rais anatoka zake kunywa kahawa
anatangaza kumuchia huru. This is mockery of justice.
 
Hii kauli ya kumpa kipondo mtu-kama wangeitoa chadema ungesikia malalamiko ya magamba na affiliates wake-ila kwakuw alietoa hio kauli ni komba,wanakaa kimya
 
ndg zangu,

nimemfuatilia sana mheshimiwa huyu toka amechaguliwa kuwa mbunge msimu uliopita, kutoka kuimba kwaya na kuwa muheshimiwa mbunge, amekua na dharau na kauli za kejeli sana kwa yoyote mabae anatofautiana nae ki fikra na kimtazmo.

nimelazimika kuwaza juu ya kumchnguza kwa sababu anajiona yeye ndie mjuaji wa kila jambo na kukejeli elimu, mtazmo wakati mwingine mpaka jografia ya wanakotoka wenzake,

je ina maana yeye ni superial kuliko yyt ndani ya nchi hii kisa tu ni kada wa chama tawala?? ana dharau sana,

wadau naombeni michango yenu
 
CCM MPs are captives of their own identities living in the prisons of their own creation!!!


most of the cannot think beyond the next meal
 
Utamu wa mjadala sio hotuba ya Tundu lissu au waziri wa sheria na katiba Celina kombani. utamu ungekuwa wakati wa kujadili hotuba hizo ndipo msikilizaji/mwananchi unapata weredi kutoka kwa wale waliozama ndani zaidi na kupangua hoja zilizo ndani ya hotuba hizo. mwisho tunapata katiba ya wote kwa maneno ya kukubalika na wote lakini sina maana hotuba ya Lisu ilikuwa mbaya
Unaujua mchakatoo? Mfano una binti yako anayetaka kuolewa baada ya kupata mchumba. Kitaratibu hawezi kumchukua kienyeji. Kuna taratibu ambayo kwanza ni BARUA ya posa.Ikipokelewa,ndiyo yanafuata mambo mengine. Bila ya barua, mambo mengine yataendeleaje? Ndo hapo sasa wanakuambia ni ngumu kujiunga na kujadili muswada huo..
 
kwa mimi nijuavyo kdg juu yake, yeye ni bigwa wa kuimba na kufanya mipasho, sasa sina hakika kama kasomea huo mziki au ni kipaji na kujipendekeza kwa viongozi wa serikali ndio kumemuweja hapo alipo
 
Back
Top Bottom