asam.thegunner
Member
- Oct 7, 2009
- 44
- 0
Kwani CAFU walipomuwekea pingamizi mgombea wa CHADEMA Sambwee Shitambala mpaka akaenguliwa NEC kwenye uchaguzi mdogo na kumfanya mgomea wa CCM kushinda ubunge CAFU walipata nini? Wakati CAFU walijua kabisa wasingeshinda uchaguzi. Acha kuandika pumba.
Nasikitika kuona unalaumu hatua ya CAFU kumwekea pingamizi mgombea. Ningedhani ungemlaumu huyo mgombea kwa kutofuata taratibu. Ni lini watanzania tutakubali udhaifu wetu na tukaacha lawama zisizo na msingi?