AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,502
- 180
Jana saa sita usiku kwenye baa ya Mzumbe Garden hapa Mbeya mjini,kulikuwa na kikao kati ya viongozi wa juu wa CCM Mkoa akiwamo Mwenyekiti wao na viongozi wa CUF wakipanga mkakati wa kuibwaga CHADEMA hapa,wana mpango wakumbambikia Sugu kesi ya kubaka au apewe fedha za PCCB.Chukueni tahadhari mafisadi wapo kazini.