frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,338
Habari nilizozipa sasa
ni kuwa makao mkuu madogo ya CCM
Lumumba, wafanyakazi wake hawajalipwa posho na mishahara
yao ya miez kibao na ndio sababu
ya siri nyingi za chama na serikali upatikana kama vitumbua.... kwa hasira.
Nape/Mwigulu lipeni pesa wafanyakazi
mnatesa familia zao...au achane hivyo
hivyo tuwapakue zaidi
SOURCE: mfanyakazi alionipakulia
mambo mengi na mazito.
V
SENGEREMA.
ni kuwa makao mkuu madogo ya CCM
Lumumba, wafanyakazi wake hawajalipwa posho na mishahara
yao ya miez kibao na ndio sababu
ya siri nyingi za chama na serikali upatikana kama vitumbua.... kwa hasira.
Nape/Mwigulu lipeni pesa wafanyakazi
mnatesa familia zao...au achane hivyo
hivyo tuwapakue zaidi
SOURCE: mfanyakazi alionipakulia
mambo mengi na mazito.
V
SENGEREMA.