King Innocent
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 1,001
- 623
Satute kwenu wakuu, kwa tathmini ndogo niliyofanya baada ya uchaguzi mdogo uliyofanyika jana wa madiwani katika kata takrbani sita na ccm kuambulia kata mbili nidhahiri kuwa chama hiki kimekuwa chama cha upinzani huku chama cha CDM Kikiendelea kuwa chama tawala ktk mioyo ya Watanzania walio wengi