Kikojozi
JF-Expert Member
- Mar 24, 2009
- 331
- 1
Kulialia mbele ya kaburi la Nyerere may seem like a cheap publicity stunt to some. Lakini it could be taken as a serious gesture of empathy by others.
No doubt to CCJ this is a calculated move to gain political mileage and ultimately votes. These people know their customers. All political parties do what they have to do to beat the competition.
Miaka nenda rudi kila nikiona kwenye kampeni za uchaguzi CCM wakigawa khanga, kapelo, t-shirts, maonyesho ya ndondi, kwaya, taarabu, nk nilikua nadhani hawako makini. Kumbe wao wanajua kile wapigakura wakitanzania wanachotaka.
Asilimia ya wapigakura wa kitanzania wanaotaka kusikia manifesto, sera, mikakati na kuichambua ni ndogo mno. Nadhani hata negligible. Idadi ya wale wanaotaka burudani, mandazi na vitumbua ni kubwa sana.
Hawa jamaa wa CCJ are definitely on to something.
No doubt to CCJ this is a calculated move to gain political mileage and ultimately votes. These people know their customers. All political parties do what they have to do to beat the competition.
Miaka nenda rudi kila nikiona kwenye kampeni za uchaguzi CCM wakigawa khanga, kapelo, t-shirts, maonyesho ya ndondi, kwaya, taarabu, nk nilikua nadhani hawako makini. Kumbe wao wanajua kile wapigakura wakitanzania wanachotaka.
Asilimia ya wapigakura wa kitanzania wanaotaka kusikia manifesto, sera, mikakati na kuichambua ni ndogo mno. Nadhani hata negligible. Idadi ya wale wanaotaka burudani, mandazi na vitumbua ni kubwa sana.
Hawa jamaa wa CCJ are definitely on to something.