CCJ sasa chafutwa rasmi

Herufi J na K zinafuatana kwenye alphabetical order, so CCJ na CCK ni mapacha, wazazi ni wale wale, isipokuwa walezi ndio tofauti.

CCJ ni Kulwa na CCK ni Dotto. Kulwa anaonekana alitoka kwa kasi ndio maana akafikwa na mauti, after some hrs Dotto (CCK) ametoka akiwa mzima, I hope walezi wake watamtunza na kuhakikisha anakuwa na afya njema ili aje kusimamia na kuendeleza kile ambacho Kulwa (CCJ) alishindwa kukitimiza baada ya kutelekezwa na walezi.

Hawa jamaa wa CCJ na sasa sijui CCK ni majokeri tu. People aren't gonna take them seriously. Yaani CCJ ilivyopigiwa debe and how it turned out to be a dud....I just can't get over it.
 
Tendwa naye wakati mwengine anasahau majukumu yake kwa kuweka mbele ukereketwa wake, yeye si msajili wa vyama tu bali pia ni mlezi wake,anaposajili chama anatakiwa akisaidie kwa ushauri mda wote tokea usajili wa awali mpaka wa kudumu...kama vile anavyofanya inapokua chama kina mgogoro wa uongozi. Nimeona katika stori hapo juu kama karudi kwenye mstari kwa kuanza na ushauri kwa CCK. Ni hatua nzuri kwa kukuwa demokrasia nchini.

Kuna sababu ambazo zinaweza kusababisha vyama vya siasa visiombe ushauri kwa Tendwa. Moja, wapinzani wengi hawana imani nae, wanahisi ni kama agent wa serikali/CCM, kwa kuwa mara nyingi amekuwa akiegemea upande wa CCM ama serikali. So kwenda kumuomba ushauri ni sawa na kuji-expose kwa adui yako.

Sababu nyingine, (hii ninai-refer kwa CCJ), CCJ ilianza kwa kishindo kikuu na kutishia uhai wa CCM, so asingeweza kuwasaidia kwa kuwa walikuwa wanaonekana wanajua kila kitu. Alichofanya ni timing ya kuwamaliza kimya kimya na ndio maana ukaona viongozi wake waliondoka kwenda CHADEMA.

Kwa kifupi ni kwamba Tendwa alikutana na CCJ ambao walikuwa ni wajuaji, so kumshauri mtu mjuaji ni kazi ngumu sana na siyo rahisi kuelewana.

Katika kipindi ambacho alikuwa na hali ngumu ni alipopambana na joto la CCJ kutaka usajili wa wa kudumu na huku akina Marmo wakiweka uzibe. Huku anabanwa na kelele za wananchi na magazeti na serikali inambana, na CCJ wanachimba biti za kufa mtu. Kilichotokea wote tunajua na sasa ni historia ya Marehemu CCJ.

Kama Mwanakijiji alivyosema, CCK itakuwa imejifunza makosa ambayo CCJ iliyafanya na hatimaye kutoweka. Kwa kuwa hawana lengo la kushiriki Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, hawa naweza kuwaona wako makini na siwezi kuhisi kwamba the so called bigwigs kutoka CCM wana nia ya kuja kuitumia CCK kama soft landing.

Kila la heri kwa CCK!
 
Mwanakijiji,
My Take:
..Kuna makosa ambayo CCJ ilifanya mwanzoni na makosa ambayo yamekigharimu chama lakini wakati huo huo ni mafunzo makubwa...
Sasa ndio umeyaona siyo? Basi uwe wazi uyaeleze hapa hayo makosa yao tuone maana pale mwanzoni ulionekana kusisitiza kuwa ni makosa ya Registrar!
 
Kuna sababu ambazo zinaweza kusababisha vyama vya siasa visiombe ushauri kwa Tendwa. Moja, wapinzani wengi hawana imani nae, wanahisi ni kama agent wa serikali/CCM, kwa kuwa mara nyingi amekuwa akiegemea upande wa CCM ama serikali. So kwenda kumuomba ushauri ni sawa na kuji-expose kwa adui yako.

Sababu nyingine, (hii ninai-refer kwa CCJ), CCJ ilianza kwa kishindo kikuu na kutishia uhai wa CCM, so asingeweza kuwasaidia kwa kuwa walikuwa wanaonekana wanajua kila kitu. Alichofanya ni timing ya kuwamaliza kimya kimya na ndio maana ukaona viongozi wake waliondoka kwenda CHADEMA.

Kwa kifupi ni kwamba Tendwa alikutana na CCJ ambao walikuwa ni wajuaji, so kumshauri mtu mjuaji ni kazi ngumu sana na siyo rahisi kuelewana.

Katika kipindi ambacho alikuwa na hali ngumu ni alipopambana na joto la CCJ kutaka usajili wa wa kudumu na huku akina Marmo wakiweka uzibe. Huku anabanwa na kelele za wananchi na magazeti na serikali inambana, na CCJ wanachimba biti za kufa mtu. Kilichotokea wote tunajua na sasa ni historia ya Marehemu CCJ.

Kama Mwanakijiji alivyosema, CCK itakuwa imejifunza makosa ambayo CCJ iliyafanya na hatimaye kutoweka. Kwa kuwa hawana lengo la kushiriki Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, hawa naweza kuwaona wako makini na siwezi kuhisi kwamba the so called bigwigs kutoka CCM wana nia ya kuja kuitumia CCK kama soft landing.

Kila la heri kwa CCK!
upuuzi mtupu, sijui nilini wabongo tutaamka, kujaza utitiri wa vyama ambamvyo havina kichwa wala miguu.
 
upuuzi mtupu, sijui nilini wabongo tutaamka, kujaza utitiri wa vyama ambamvyo havina kichwa wala miguu.
nakuunga Mkono mkuu paulss kuwa na vyama vingi hiyo itasaidia kushinda kwa Urahisi chama tawala cha CCM. Kwa kila miaka ikifanyika Uchaguzi CCM itakuwa mshindi kutokana na wingi wa kuwa na vyama vingi. Waswahili husema Wajinga ndio waliwao.
 
My Take:
Kuna makosa ambayo CCJ ilifanya mwanzoni na makosa ambayo yamekigharimu chama lakini wakati huo huo ni mafunzo makubwa. Ujio wa CCK nao ni jaribio jingine la demokrasia nakwa vile hakuna presha ya uchaguzi kama ile ya CCJ, naamini wataweza kabisa kujipanga vizuri zaidi. As usual I'll render my support.

Kwa wakati huu hata hivyo, nataka niweke mkazo kwanza kuelekea uchaguzi mkuu. CCK itajengwa taratibu na kwa ufundi zaidi.

Kwa hiyo CCK 'charm offensive' nayo inaanza lini - baada ya uchaguzi?
 
Mwanakijiji,where are you?imekuwaje tena jamani?ni juzi tu umetuambia kuwa CCJ bado iko na inajipanga kusimama imara?kulikoni?
I can predict where they are heading to, kuna helufi nne zimejipanga J, K, L, M, walianza na CCJ sasa CCK baadae CCL mwisho wataishia na CCM, but MKJJ may tell us exactly what is the secret behind.
 
I can predict where they are heading to, kuna helufi tatu zimejipanga J, K, L, M, walianza na CCJ sasa CCK baadae CCL mwisho wataishia na CCM, but MKJJ may tell us exactly what is the secret behind.

hahaaaaaaaaaa
 
Africans we are doomed to fail...........tunafanya mambo kwa ushabiki tu. hype ya ccj utasema kilikuwa na uwezo wa kuchukua nchi kumbe hata sifa za kuweza kuwa registred hawakuwa nazo.

bora tu hiyo cck ilipokaa mbali na uchaguzi
 
aah!
mwanakijijiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
haya bwana
 
msajili wa vyama vya siasa nchini, john tendwa, leo hii amefuta rasmi usajili wa muda wa chama cha jamii (ccj) baada ya viongozi wa chama hicho kushindwa kutimiza masharti ya usajili na wengine kuhamia chadema.

Inasemekana kuwa baadhi ya wasanii kwenye chama hicho kilichokufa sasa wako kwenye jitihada za kuanzisha chama kipya - chama cha kijamii (cck).

Kazi ipo
akitanda umeniangusha sana, yale maneno yote uliyoniakikishia naona yamekuwa siyoo! Nashindwa kukuamini na hii cck yako!!!!!!!!!
 
haya ni matatizo makubwa mantiki ya kuanzisha mavyama hovyo hovyo inaniudhi kweli, badala tujenge vilivyopo bado tunataka kuja kuanza kugawana kura zetu chache za upinzani dhidi ya CCM
 
Africans we are doomed to fail...........tunafanya mambo kwa ushabiki tu. hype ya ccj utasema kilikuwa na uwezo wa kuchukua nchi kumbe hata sifa za kuweza kuwa registred hawakuwa nazo.

bora tu hiyo cck ilipokaa mbali na uchaguzi

.
Hawa ccj hawakuwa tofauti na kisa cha simba aliyepelekewa unyoya wa jogoo akagwaya vibaya kwa kufikiri kuwa kama unyoya wake ni kama sindano hivyo basi unyoya alioletewa utakuwa wa mnyama mkuubwa anaetisha. Kumbe uhalisi ni unyoya wa ndege ambae hata kilo gram tatu hana. ccj walitisha kama nini, tukafikiri ni chama badala wa ccm kumbe hewa.
 
Mwenyekiti Mpya wa CCK anaitwa A. Kitanda! Huyu Jamaa si alikuwa CCJ

Jina tu halina mvuto,sitaki kuimagine yeye mwenyewe.Jina haliko kwenye medani za siasa za TZ.kama yule wa mwanzo..Kama wanataka hiki chama kikue basi mimi ningeshauri Mwanakijiji mwenyewe ndio angekuwa mwenyekiti.
 
Jina tu halina mvuto,sitaki kuimagine yeye mwenyewe.Jina haliko kwenye medani za siasa za TZ.kama yule wa mwanzo..Kama wanataka hiki chama kikue basi mimi ningeshauri Mwanakijiji mwenyewe ndio angekuwa mwenyekiti.
Mwanakijiji si mwanasiasa ni mwandishi wa habari za siasa.
 
Jina tu halina mvuto,sitaki kuimagine yeye mwenyewe.Jina haliko kwenye medani za siasa za TZ.kama yule wa mwanzo..Kama wanataka hiki chama kikue basi mimi ningeshauri Mwanakijiji mwenyewe ndio angekuwa mwenyekiti.
Unajuaje yeye si mwenyekiti?
 
msajili wa vyama vya siasa nchini, john tendwa, leo hii amefuta rasmi usajili wa muda wa chama cha jamii (ccj) baada ya viongozi wa chama hicho kushindwa kutimiza masharti ya usajili na wengine kuhamia chadema.

Inasemekana kuwa baadhi ya wasanii kwenye chama hicho kilichokufa sasa wako kwenye jitihada za kuanzisha chama kipya - chama cha kijamii (cck).

Kazi ipo


jameni hii sasa imekua ni three much vyama kila pembe sasa mpaka inachefua na hata kama huo uhuru wa demokrasia sasa imeshakua kero.maana kila kukicha utasikia mara chatembea(chadema),mimu(kafu),wewe jei (ccj) na kadhalika mwisho watakosa na wapiga kura wenyewe kwani kila mtu atakua na chama chake anataka kukipigia kura sasa hapo si ni balaa?,nkakorwa mie.
 
Jina tu halina mvuto,sitaki kuimagine yeye mwenyewe.Jina haliko kwenye medani za siasa za TZ.kama yule wa mwanzo..Kama wanataka hiki chama kikue basi mimi ningeshauri Mwanakijiji mwenyewe ndio angekuwa mwenyekiti.

Unafikiri kuandika riwaya ndio kuweza kuongoza,atakuwaje Mwenyekiti mzuri kama kashinda ku organize na kuongoza remotely kuwezesha CCJ kupata just usajili.The guy he is just theoretical oriented not practical oriented.
Kama kujifunza mazingira ya siasa ok aanze rasmi now may be after 5 yrs atakuwa angalau anajua battle feild ya siasa iko wapi.Ni tofauti na kukaa pembeni na kutoa analysis kuwa ikafanyika hivi na vile na ukaonekana una mawazo mazuri.
 
Back
Top Bottom