The Informer
Senior Member
- Jun 14, 2010
- 119
- 29
Msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa, leo hii amefuta rasmi usajili wa muda wa Chama Cha Jamii (CCJ) baada ya viongozi wa chama hicho kushindwa kutimiza masharti ya usajili na wengine kuhamia CHADEMA.
Inasemekana kuwa baadhi ya wasanii kwenye chama hicho kilichokufa sasa wako kwenye jitihada za kuanzisha chama kipya - Chama Cha Kijamii (CCK).
Kazi ipo
Inasemekana kuwa baadhi ya wasanii kwenye chama hicho kilichokufa sasa wako kwenye jitihada za kuanzisha chama kipya - Chama Cha Kijamii (CCK).
Kazi ipo