Dingswayo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 4,019
- 2,923
Wakuu wataalam naomba msaada wenu. Nina laptop ambayo caps zimelock, nikiandika ninakuwa kama nimeweka capitals, kwa hiyo siwezi ku log in na password yangu maana inaandika password na mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo. Naomba msaada hapa jamvini kama kuna ambaye anaweza kunipatia ufumbuzi wa tatizo hili. Natanguliza shukrani.