msaada, laptop inakataa ku boot na caps & numb locks blinking for 5 times

Chibwende

Member
Jun 11, 2013
17
5
habari zenu wana jf..
nina laptop yangu aina ya hp 6535b, na nimeinunua used tangu 2012 na ilikuwa safi tu mpaka mwaka huu mwezi wa tano ilipogoma kuwaka mpaka leo hii!
ilianza tatizo hili ghafla tu, ukiiwasha inawaka halafu caps lock na number lock zinakuwa zinablink kwa pamoja mara tano na kioo kikiwa katika hali yake ya kawaida tu (kama imezima)
kwakuwa mimi mwenywe ni mwanafunz wa electronics nd telecom, nilijaribu kulitatua hili tatizo bila mafanikio ikiwemo kuifanyia usafi na kuondoa vumbi, na vyote thavikusaidia kitu!
kama kuna yoyote ambaye amewahi kutatua tatizo hili kwa namna yoyote ile, naomba anihabarishe.
natanguliza shukran zangu za dhati
 
Kwa ushauri tu usiendelee kuhangaika nayo maana ttz litakuwa lipo kwenye motherbody yake nilikuwa nina Laptop ya IBM ilikuwa ina tatizo kama hilo nilipojaribu kuirekebisha unafunga ic hii ikiwaka inakufa nyingine nikaamua niachane nayo sababu ilinipotezea sana muda


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums app
 
Hellow....Nakushauri Lile tatizo unaloliaona nenda google liandike pale...mara nyingi matatizo yanayotokea huku yalisha wahitokea Ulaya miaka mingi tu.

Ukiandika utapata trackings nyingi tu za kutosha kupata majibu tofauti tofati.
 
Hellow....Nakushauri Lile tatizo unaloliaona nenda google liandike pale...mara nyingi matatizo yanayotokea huku yalisha wahitokea Ulaya miaka mingi tu.

Ukiandika utapata trackings nyingi tu za kutosha kupata majibu tofauti tofati.

nimefanya ivyo ndugu yangu, nli google, nikaenda hp support forum lakin cjapata solution ya maana.
mmoja alishauri kuifunika kwa dk kadhaa na koti zito au blanket hadi ipate moto alafu itawaka. nimefanya ivyo na wala haijasaidia kitu, japokuwa kwa baadhi ya waliochangia kwao solution hiyo ilionesha kufanya kaz
thanx kwa ushauri anyway
 
nimefanya ivyo ndugu yangu, nli google, nikaenda hp support forum lakin cjapata solution ya maana.
mmoja alishauri kuifunika kwa dk kadhaa na koti zito au blanket hadi ipate moto alafu itawaka. nimefanya ivyo na wala haijasaidia kitu, japokuwa kwa baadhi ya waliochangia kwao solution hiyo ilionesha kufanya kaz
thanx kwa ushauri anyway

Hahahahaha sorry mkuu..! hapo kwenye red pamenichekesha sana.

Tatizo letu sisi wabongo ni wepesi kukuta tamaa vile vile hatupendi kuumiza kichwa kwa matatizo kama hayo, tunakariri solution, hivi vitu haviendi kama wangonjwa wa malaria.

Katika laptop au computer yapo mambo mengi sana yanayoweza kusababisha izimike, na mengi ni madogo madogo ambayo haya hitaji hata kutoa jasho, cha msingi ni ujasili wa kukifungua chombo cha na kukikagua kwa vile vitu vya kawaida kama ram,processor,power supply, bus cable n.k

Katika maelezo yako umesema unasomea electronics sasa nashangaa unakosaje ujasili kufungua na kukagua chombo chako kwa umakini hata kuchunguza baadhi ya ice kama zimevimba sababu ya shoti.

Kwa uzembe huu mtaendelea sana kuliwa pesa.!!
 
habari zenu wana jf..
nina laptop yangu aina ya hp 6535b, na nimeinunua used tangu 2012 na ilikuwa safi tu mpaka mwaka huu mwezi wa tano ilipogoma kuwaka mpaka leo hii!
ilianza tatizo hili ghafla tu, ukiiwasha inawaka halafu caps lock na number lock zinakuwa zinablink kwa pamoja mara tano na kioo kikiwa katika hali yake ya kawaida tu (kama imezima)
kwakuwa mimi mwenywe ni mwanafunz wa electronics nd telecom, nilijaribu kulitatua hili tatizo bila mafanikio ikiwemo kuifanyia usafi na kuondoa vumbi, na vyote thavikusaidia kitu!
kama kuna yoyote ambaye amewahi kutatua tatizo hili kwa namna yoyote ile, naomba anihabarishe.
natanguliza shukran zangu za dhati



Nilipata tatizo kama lako juzi kati ila nilifanikiwa kufix

Check kwanza screen..jaribu kuconnect kwenye desktop screen,usipoona kitu basi screen is likely kuwa nzima

Nenda kwenye RAM,huwa pc ikioverheat,hizo slots za Random Acces Memory zinalegea au zinakufa kabisa,jaribu kubadili uweke nzima halafu uiwashe.

Ikigomesha nenda kwenye graphic card,na yenyewe inaathiriwa sana na joto,try to replace it uone

Hizo ndizo hatua nilizopitia mimi hadi kufix na to me shida ilikuwa ni ram

Chanzo:Google
 
Nilipata tatizo kama lako juzi kati ila nilifanikiwa kufix

Check kwanza screen..jaribu kuconnect kwenye desktop screen,usipoona kitu basi screen is likely kuwa nzima

Nenda kwenye RAM,huwa pc ikioverheat,hizo slots za Random Acces Memory zinalegea au zinakufa kabisa,jaribu kubadili uweke nzima halafu uiwashe.

Ikigomesha nenda kwenye graphic card,na yenyewe inaathiriwa sana na joto,try to replace it uone

Hizo ndizo hatua nilizopitia mimi hadi kufix na to me shida ilikuwa ni ram

Chanzo:Google

asante sana asee,
nmereplace ram imekubali
 
mm na tumia hp corei5 na tatizo hili lilianza baada ya kuchange windo juzi,nimeangalia sehem ya kubadili ram ni hadi pc ifunguliwe na mm sio mtaalam wa pc, naomba msaada,
 
Back
Top Bottom