no difference!KUIBA NDO KUCHUKUA KISICHO CHAKO!haitajalisha umechukua cha nani!........
may be tuweke swali kama hili....DO WE HAVE LESSER EVILS IN LIFE?if YES,THEN COULD THIS WOMAN HAVE GONE FOR THE LESSER EVIL FOR THE SAKE OF HER FAMILY?
hata akikusachi kwa miaka mitatu mfululizo?.....
lakini ameiba!kuhamisha huwa hakufanyiki kwa mtindo wa kusachiana!........amefanya kitu chema yes/no!?hilo hamna anaejua!kwa mfano huyu mzee angekuwa na uwezo wa kununua nyumba nyingine unadhani huyu mama angeliweka wazi hili swala?
kwa hiyo unaonaje mkuu nguli?!can we justfy theft IN JESUS NAME?
]Hata kama atapewa talaka [/COLOR]lakini haki itachukua mkondo wake mama atapewa sehemu ya mshahara wa Mr.
ningekuwa mie nicngeliweka wazi kwa sababu zangu binafc, ningeipangisha na mie nipate kipato kidogo cha kujihudumia na kuwasaidia watoto na familia yangu pale panapokwama....sasa ngoja nikuache ucctize kwamba nimeiba lakini moyo wangu ungeniambia cjaiba chochote na ningemshukuru Mungu kuwa nimefanya jambo la mcngi kuiokoa familia yangu.....cjaiba kabisa na lawama mpe huyo mzee kushindwa kuihudumia familia yake ipasavyo na kusababsha mie kufanya niclolitegemea kwa kuinusuru familia...
Mama akafanya dhambi amehamisha pesa mfukoni mwa Mr. bila lidhaa ya mwenye pesa hapo tayari dhambi inapotokea kwa nini ahamishe kwa kificho? tena anategea yupo bwiiii
....but she confessed it STEALING!may be you tell me what do we mean by stealing....
No! But to my human perception, there is an exception in some cases/sin before our loving God. soldier's wife did with good spirit bearing in mind the fate of the family incase of introverted/death of the husband.....wife
Na baba alipokuwa anatanua na vidigidigi alikuwa anatenda mema? Actually aliyekuwa anamuibia mzee ni hivyo vibinti vyake.
sawa!my question,WAS SHE FAIR TO STEAL?
kama nikiomba cpewi na ninaona zinaishia bar nifanyaje? HAKUNA DHAMBI HAPO, MWENYE DHAMBI HILO LIBABA..... mctete kisichoteteleka.....ebo.
umekula senksi karibu kila post zako zote!.....Kuiba ni kuchukua mali/ kitu kisichokuwa chako na ukakimiliki bila ridhaa ya mwenyenacho.
Mume na mke ni kitu kimoja. Biblia inasema (Utawaacha baba na mama yako, Utaambatana na mkeo na nyinyi wawili mtakuwa mwili mmoja). Mama akichukua mali ya mmewe, amechukua mali yake. Hana haja ya kuomba. Ili mradi anaifanyia jambo SAHIHI! She was not stealing for God's sake. She was taking/transfering! Nigongee senksi hapa!
sasa hapa ndipo yule mama alipokushinda!...YEYE ALIKONFESS NA KULIWEKA WAZI!......
hili ni jaribu nyamayao!huyu mama alimshinda shetani hapa tu
sasa hapa ndipo yule mama alipokushinda!...YEYE ALIKONFESS NA KULIWEKA WAZI!......
hili ni jaribu nyamayao!huyu mama alimshinda shetani hapa tu
Ndo maana tunasema kwa nn mama asitumie njia sahihi?
Yawezekana kuna libaba lingine lilikuwa linachangia ujenzi.