Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
THE MEANS:baada ya kuona mumewe(mwanajeshi wa level ya lt col) ni mlevi kupindukia,anakabidhi mshahara wake woote bar,kula kunywa na totooz huyu mke mwema aliamua kuanza kumuibia mumewe kila siku usiku kwa staili ya kumsachi mfukoni(kwasababu anakuwa kalewa)!hela alizokuwa akizikwapua alizitumia kununua kiwanja gongolamboto na kuanza ujenzi kwa kujikongoja sana.zoezi hili lilichukua zaidi ya miaka miwili...hatimae nyumba ilikamilika!
THE END:kama tunavyojua,hatma ya wanajeshi wengi ni kustaafu kulingana na vyeo ulivyopata na umri.huyu mh lt col muda wa kustaafu ulifika.ana watoto wanne,wawili wakiwa university private.ilikuwa ngumu kwa huyu mzee kufikiria kujenga,wakalazimika kutafuta nyumba ya kupanga.mama aliamua kumpangishia nyumba aliyoijenga.......!kodi ilikuwa laki sita kwa mwezi.nyumba ilikuwa full furnished!...canali mstaafu alikaa miezi sita analipa kodi hamjui mwenye nyumba,baada ya muda kupita kanali alishindwa kumudu hata gharama za nyumba.akamshauri mkewe warudi kwao nachingwea!ndipo mke mwema alipoamua kumueleza ukweli woote kwa namna alivyoijenga nyumba,na kumsihi mumewe kuwa abaki tu kwani nyumba ni yake!
SWALI LANGU:CAN THIS END JUSTFY THE MEANS?!..........
tujadili!
THE END:kama tunavyojua,hatma ya wanajeshi wengi ni kustaafu kulingana na vyeo ulivyopata na umri.huyu mh lt col muda wa kustaafu ulifika.ana watoto wanne,wawili wakiwa university private.ilikuwa ngumu kwa huyu mzee kufikiria kujenga,wakalazimika kutafuta nyumba ya kupanga.mama aliamua kumpangishia nyumba aliyoijenga.......!kodi ilikuwa laki sita kwa mwezi.nyumba ilikuwa full furnished!...canali mstaafu alikaa miezi sita analipa kodi hamjui mwenye nyumba,baada ya muda kupita kanali alishindwa kumudu hata gharama za nyumba.akamshauri mkewe warudi kwao nachingwea!ndipo mke mwema alipoamua kumueleza ukweli woote kwa namna alivyoijenga nyumba,na kumsihi mumewe kuwa abaki tu kwani nyumba ni yake!
SWALI LANGU:CAN THIS END JUSTFY THE MEANS?!..........
tujadili!