Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Safi sana mama,Yani akili sio lazima uende shule uwe na ma-PHD.Huu ni mfano mzuri wa kuigwa.Nafikiria nianze kuapply maana hizi location za Counter zimezidi.
Hahaha! Kaunta tunakula maji makuuuuubwa ya kilimanjaro huku tukikamata mahubiri ya mwakasege! LOL!