tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,405
- 1,181
- Thread starter
- #61
mmmh! Hili nalo neno lkn.........piga chini fasta mkuu mitafaruku kama hiyo ndo inaletaga brain concussion.......ohoo we shauri yako
mmmh! Hili nalo neno lkn.........piga chini fasta mkuu mitafaruku kama hiyo ndo inaletaga brain concussion.......ohoo we shauri yako
Vua gamba,vaa gwanda.over
kama amekuwa king'anganizi ujue ana lake jambo-inawezekana alishafikiri kukumwaga-sasa amepata sababu ndo maana anang'ang'aniahata nafas ya kumuuliza hataki kunipa ye anachotaka ni kuachana 2.
simu hataki kupokea,sms hajibu cjui nitamwambiaje 2kutane, yaan nachoka kbs
"Samahani namba unayopiga kwa sasa inatumika tafadhali subiri"Maneno haya yameniweka kwenye mtafaruko na mpenz wangu mida ya tigo promo saa nne usiku.Amenuna hataki hata tuöngee kwa madai eti nilikua naongea na mpnz mwingne na anataka 2achane.Hivi wajamen tatizo ni call waiting au anayake mengine?
napajua anapoish ila alinikataza siku nying nisifike coz wazaz wao wakal kinoma n ni get kal'hupajui anapoishi, ama huwez kumfuata?
hupajui anapoishi, ama huwez kumfuata?
ata me nahisi hivyokama amekuwa king'anganizi ujue ana lake jambo-inawezekana alishafikiri kukumwaga-sasa amepata sababu ndo maana anang'ang'ania
Yupo form ngapi??akikua then akakutana na makubwa ataacha hata dada zake tulikua hivyo enzi hizoo..
Possibly YES OR NO..anaejua ni wewe na yeye jinsi mnavyoendesha mapenzi yenu...Mapenzi ni maelewano..kama hamna hivyo.Dont force.:flypig:
JOCATE DIAMOND..
SAIV ILI TATIZO LA call waiting imekuwa issue kwa weng
Sasa we umejuaje kama kosa ni hilo kiama haongeihataki hata kupokea simu, nikituma sms sijui anaisoma ila hajibu ki2.Yaan... We acha 2 niko njia panda
Sasa we umejuaje kama kosa ni hilo kiama haongei