tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,405
- 1,181
"Samahani namba unayopiga kwa sasa inatumika tafadhali subiri"Maneno haya yameniweka kwenye mtafaruko na mpenz wangu mida ya tigo promo saa nne usiku.Amenuna hataki hata tuöngee kwa madai eti nilikua naongea na mpnz mwingne na anataka 2achane.Hivi wajamen tatizo ni call waiting au anayake mengine?