CAF inatarajia kukutana Morocco Julai 16 kwa ajili ya kujadili mfumo wa mashindano ya CAF Super League

Donnie Charlie

JF-Expert Member
Sep 16, 2009
15,414
16,662
CAF inatarajia kukutana Morocco Julai 16 kwa ajili ya kujadili mfumo wa mashindano ya CAF Super League

Timu zilizotajwa

🇲🇦Wydad, Raja, Berkane
🇪🇬Al Ahly, Zamalek, Pyramids
🇿🇦Mamelodi Sundowns, Orlando Pirates, Kaizer Chiefs
🇨🇩TP Mazembe, Vita Club
🇸🇩Al Hilal, Merrikh
🇹🇿Simba
🇬🇳 Horoya

 
Hawa jamaa CAF wanapenda kuiga kila kitu toka UEFA, hii Super Ligue sio ile iliyokufa kifo cha mende kule Ulaya hivi karibuni hadi timu nyingine kama Man Utd Woodward akalazimika kujiuzulu?
Ndo copy yake hii,ila kwa Africa itabarikiwa ni itafanyika.
 
faida yake mikia wanadhani watachukua kombe
IMG-20210703-WA0018.jpg
 
Back
Top Bottom