Wee nawe si ufoji vyeti vya imani na credentials za master ili upate mume [HASHTAG]#askofu[/HASHTAG]Inabidi tufanye research soon as possible tujue hilo
ZimefikaMsalimie yule binti yako mrembo...
Zimefika
Tangu lini sister akawa na mume jamani!Wee nawe si ufoji vyeti vya imani na credentials za master ili upate mume [HASHTAG]#askofu[/HASHTAG]
Wacha kabisa pale inabidi niongeze ulinzi makwapu kwapu wasijemkwapua mapemaBinti mrembo kaa mama'ake.
Wacha kabisa pale inabidi niongeze ulinzi makwapu kwapu wasijemkwapua mapema
Ooh really?Naweza kuwa bodyguard wenu?
Nakuhakikishia hakuna atayewasogelea....
Atakayethibutu atapigwa bonge moja la guillotine choke apoteze fahamu kabisa!
Ngabu ni protector wa watoto wazuri wazuri.
Si wa kukazia [HASHTAG]#injili[/HASHTAG] leo dar palikuwa na kamvua mvua ambako kalikuwa shawishi sana kwa [HASHTAG]#kilimochamaharage[/HASHTAG]
Hata huku kalikuwepo mida ya asubuhi.... Kanafaa kwa kilimo cha watotoSi wa kukazia [HASHTAG]#injili[/HASHTAG] leo dar palikuwa na kamvua mvua ambako kalikuwa shawishi sana kwa [HASHTAG]#kilimochamaharage[/HASHTAG]
Ooh really?
Kweli naona kazi utaimudu... Jiandae J3 kuanza ajira hiyoRealer than the read deal Holyfield.
My mean mug alone is as potent a weapon as my left and right hook.
Hizo ndio Gia za sasa uonekane umeokoka kumbe unataka kula mzigo kiaina. Kuna baadhi ya wadada wataleta mrejesho hapa. Jinsi Viol alivyo wala bila hata ya kulipia hela ya bajaji...sasa kwanini usingeenda church Yenu au Ya Jirani unakimbilia social networks Mkuu,haupo serious kabisa naona
Valentina Mungu anakuona ha ha haaHata huku kalikuwepo mida ya asubuhi.... Kanafaa kwa kilimo cha watoto
Hakuna ulokole aponimeokoka V,imagine unavyolaliana na watu kama Nyani Ngabu we madem wengi humu ila bado upo hai,lazima uokoke
Aisee Nyani Ngabu ushawahi kufukuzia manzi wa angola?washikaji wa angola wakikuona wanamfuata manzi wako na kumwambia ana ngoma achana naye,,,,lazima uachwe
Awe na bikira au asiwe nayo?-awe ameokoka
-popote pale Tanzania,
-sijali dhehebu cha msingi iwe ya wokovu.
-elimu kuanzia form 6 hadi masters.
-awe ameajiriwa au hajaariwa its OK
-watoto wa wachungaji watapewa kipaombele mana mi mwenyewe...
-umri kuanzia 19-31
-tukikubaliana nitatuma wazee wangu process ianze.
-process itaanza,mipango ya ndoa lazima iwe kanisani.
-kanda ya kaskazini nawapa kipao mbele especially manyara,arusha singida tanga
-ndoa lazima kufanyika kabla ya November mwakani.
-Akubali kuja kanisani ,
-waliopo overseas nitawapa email makanisani,nitamkaribisha kanisani kwangu aje kutoa hata salamu.
Lengo lake iwe ndoa tu.
Mnakaribishwa warembo wenye sifa hizo,mi mkongwe humu ila huwa siingii sana unaweza kuni-PM namba zako za simu.