Bwana asifiwe,Namtafuta girl aliyeokoka wa kumwoa!

-awe ameokoka
-popote pale Tanzania,
-sijali dhehebu cha msingi iwe ya wokovu.
-elimu kuanzia form 6 hadi masters.
-awe ameajiriwa au hajaariwa its OK
-watoto wa wachungaji watapewa kipaombele mana mi mwenyewe...
-umri kuanzia 19-31
-tukikubaliana nitatuma wazee wangu process ianze.
-process itaanza,mipango ya ndoa lazima iwe kanisani.
-kanda ya kaskazini nawapa kipao mbele especially manyara,arusha singida tanga
-ndoa lazima kufanyika kabla ya November mwakani.
-Akubali kuja kanisani ,
-waliopo overseas nitawapa email makanisani,nitamkaribisha kanisani kwangu aje kutoa hata salamu.
Lengo lake iwe ndoa tu.

Mnakaribishwa warembo wenye sifa hizo,mi mkongwe humu ila huwa siingii sana unaweza kuni-PM namba zako za simu.
Ila haujaweka sifa zako ili tujitokeze kwa vizuri umeangalia tu upande wako? Na Mimi kujitokeza lazima nijiridhishe na sifa zako kama ziko vizuri.
 
Vipi maombi yamekuwaje tena? Maana wachumba wa kilokole hupatikana kwa maombi mkuu !
 
Mbona wapo wengi sana huko makanisani kwenu au hakuna mwenye figa na Chura unalotaka?

Au ni washamba?

Heeh!!!
 
Akipiga kila hatua inaenda na sala kwa bwana matako yasitingishike sana ili asiwape watu majaribu.
Ha ha haaa.....we Jamaa mnoko sana, yaani kila hatua na sala yake?

Hivi Kiranga mkeo lazima awe Atheist?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom