tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,307
Bwana yupi! Asifiwe?
Bwana yupi! Asifiwe?
Anatembea na biblia mda woteHivi mlokole yukoje?
Ila haujaweka sifa zako ili tujitokeze kwa vizuri umeangalia tu upande wako? Na Mimi kujitokeza lazima nijiridhishe na sifa zako kama ziko vizuri.-awe ameokoka
-popote pale Tanzania,
-sijali dhehebu cha msingi iwe ya wokovu.
-elimu kuanzia form 6 hadi masters.
-awe ameajiriwa au hajaariwa its OK
-watoto wa wachungaji watapewa kipaombele mana mi mwenyewe...
-umri kuanzia 19-31
-tukikubaliana nitatuma wazee wangu process ianze.
-process itaanza,mipango ya ndoa lazima iwe kanisani.
-kanda ya kaskazini nawapa kipao mbele especially manyara,arusha singida tanga
-ndoa lazima kufanyika kabla ya November mwakani.
-Akubali kuja kanisani ,
-waliopo overseas nitawapa email makanisani,nitamkaribisha kanisani kwangu aje kutoa hata salamu.
Lengo lake iwe ndoa tu.
Mnakaribishwa warembo wenye sifa hizo,mi mkongwe humu ila huwa siingii sana unaweza kuni-PM namba zako za simu.
nimeshangaa hatariii!V umeokoka?
Mwenyewe bado sijaamini amini tehnimeshangaa hatariii!
Mwaka Jana alitafuta mchumba akasema kapata this yr anatafuta mlokole mwenziwe!Mwenyewe bado sijaamini amini teh
Kheee... Kumbe!Mwaka Jana alitafuta mchumba akasema kapata this yr anatafuta mlokole mwenziwe!
Wa mwaka jana alitoa mbona, kuwa ashapata, sasa sijui ilikuwaje kaamua asake mlokole.Kheee... Kumbe!
V njoo ulete mrejesho wa mwaka jana kwanza
Aise... Hebu akuje tu atueleweshe hii mamboWa mwaka jana alitoa mbona, kuwa ashapata, sasa sijui ilikuwaje kaamua asake mlokole.
kumbe wwewe ndo musa mashishanga hahahahahahaUmepata mke, mnaotafuta wake na waume kwenye mtandao mtakuja muoe mapepo haya Kaz kwenu
Ha ha haaa.....we Jamaa mnoko sana, yaani kila hatua na sala yake?Akipiga kila hatua inaenda na sala kwa bwana matako yasitingishike sana ili asiwape watu majaribu.
Ha ha haaa.....we Jamaa mnoko sana, yaani kila hatua na sala yake?
Hivi Kiranga mkeo lazima awe Atheist?