Kuna topics zako miaka ya nyuma uliponda wasichana wasomi ukasema wanaoolewa ni dsrasa la saba na form four, na ndio ilikuwa pendeleo lako kimtazamo, Leo vigezo vyako ni hadi masters vp umebadili msimamo wa zamani?-awe ameokoka
-popote pale Tanzania,
-sijali dhehebu cha msingi iwe ya wokovu.
-elimu kuanzia form 6 hadi masters.
-awe ameajiriwa au hajaariwa its OK
-watoto wa wachungaji watapewa kipaombele mana mi mwenyewe...
-umri kuanzia 19-31
-tukikubaliana nitatuma wazee wangu process ianze.
-process itaanza,mipango ya ndoa lazima iwe kanisani.
-kanda ya kaskazini nawapa kipao mbele especially manyara,arusha singida tanga
-ndoa lazima kufanyika kabla ya November mwakani.
-Akubali kuja kanisani ,
-waliopo overseas nitawapa email makanisani,nitamkaribisha kanisani kwangu aje kutoa hata salamu.
Lengo lake iwe ndoa tu.
Mnakaribishwa warembo wenye sifa hizo,mi mkongwe humu ila huwa siingii sana unaweza kuni-PM namba zako za simu.
Yaah,,kina nafasi ukikisakata vizuri wakati wa msambinungwa hadi maprofesseri wanaweza kutangaza ndoa kwako mwenye elimu ya form four..!!Kwan kiuno ndoa??? Kiuno akudo
Kwanini usiende kanisani kwenu..? Huko si ndo rahisi kuwapata..-awe ameokoka
-popote pale Tanzania,
-sijali dhehebu cha msingi iwe ya wokovu.
-elimu kuanzia form 6 hadi masters.
-awe ameajiriwa au hajaariwa its OK
-watoto wa wachungaji watapewa kipaombele mana mi mwenyewe...
-umri kuanzia 19-31
-tukikubaliana nitatuma wazee wangu process ianze.
-process itaanza,mipango ya ndoa lazima iwe kanisani.
-kanda ya kaskazini nawapa kipao mbele especially manyara,arusha singida tanga
-ndoa lazima kufanyika kabla ya November mwakani.
-Akubali kuja kanisani ,
-waliopo overseas nitawapa email makanisani,nitamkaribisha kanisani kwangu aje kutoa hata salamu.
Lengo lake iwe ndoa tu.
Mnakaribishwa warembo wenye sifa hizo,mi mkongwe humu ila huwa siingii sana unaweza kuni-PM namba zako za simu.
Wewe umeokoka??? Kamue mtoto wa mwakasege tuma application kwa baba mtu..Watoto wa maaskofu wa makanisa ya kilokole ....u know what I'm talking about
Tulioishia form four ndio hivo tena.
Good. All the best.challlenge accepted
sie tupo kihuduma tu japo kupendana kupo eti sister Valentina tena ukuje leo nina surprise yakooooo
BIKRA ADIMU MKUU labda za tope wanapenda chipsi kuku hawa miaka 12 ishaliwaAwe na bikira au asiwe nayo?
sawa sawa bado 40 minute nikuone sista ukuje peke yakoSatisa nitakua hapo padre