Business ideas (Bure)

ubarikiwe xana mtanganyika kwa ushauri wako, hakika umenipa mwanaga mkubwa. kweli inaezekana issue ni kuwa na taarifa nying sahihi, utafiti na ubunifu ili kifikia lengo.
 
Jambo ambalo nimeona hapa Tanzania ni kwamba vijana wengi hawana uthubutu, na wale walio na uthubutu wanajaribu nusu nusu. Mfano nimekwenda sana mitaa ya mbezi beach nikaangalia fursa mbali mbali, ukiangalia quality ya product ambazo vijana wamezipeleka kule ni mbovu matokeo yake watu wa Mbezi wengi wanakimbilia Mlimani city na maeneo mengine ya mji, no creativity.

Kingine technology haijapenya kabisa, yaani nilitegemea kila duka kuona tunapokea Cash, Tigo Pesa, Mpesa na vingine bila extra fees. Lakini ukitoa 10,000 mtu kaanza vilio, aaah boss sina chenji.
 
Asante sana Kwa mleta huu Uzi.Kwakweli nimejifunza mengi sana kupitia hapa.Ngoja nizichange niingie msituni.
 
Mtanganyika

Nakubaliana na wewe kwenye idea namba 3. Mimi nataka kujikita kwenye biashara ya lubricants ila nimepata changamoto moja. Products nazotaka kuingiza kwa kuwa zinatoka nchi za Ulaya bei zake katika soko la magari zinakuwa ziko juu ukilingasha na products zilizopo sokoni. Wazo langu ni ku focus kwenye products za viwandani kwa kuwa nina full range katika uwanja wa lubricants. Wakuu naomba mawazo na utaalamu wenu.
 
Mtanganyika

Nakubaliana na wewe kwenye idea namba 3. Mimi nataka kujikita kwenye biashara ya lubricants ila nimepata changamoto moja. Products nazotaka kuingiza kwa kuwa zinatoka nchi za Ulaya bei zake katika soko la magari zinakuwa ziko juu ukilingasha na products zilizopo sokoni. Wazo langu ni ku focus kwenye products za viwandani kwa kuwa nina full range katika uwanja wa lubricants. Wakuu naomba mawazo na utaalamu wenu.

Mkuu Lubricants is a real money, challenge kubwa kwa sasa ni kucheza shire kwa shilling kwenye soko.
 
mkuu mtanganyika wewe n moja ya watu ambao nimekuwa nikiwatafuta sana, i like buisness n i believe that buisness will take me far than being employed
 
Hi,
We are a company of business and management experts dealing with various consultancies such as project write ups, project evaluations, business plans, company registrations, Taxation, tax returns, business names, business consultancies etc.

Any firm , NGO, company or individuals who need to write a proposals for funding etc, are highly invited to PM the author.

We are committed to finish your work within a given time frame in a professional way you can't imagine. Our price is negotiable. "Kazi Bora kwanza!" is our motto. Mteja wetu huwa analeta kazi nyingine na Wateja wengine, jaribu kutupa kazi hautajuta! PM the author for more details or phone us through our # +255 688 778 484 advance siyo lazima kazi kwanza!
 
Kijana13 Finance kwa any start up ni uphill battle, lakini guess what it is winnable. Kuna mambo lazima uzingatie kabla ujaanza kuzunguka kutafuta mtaji. Najua umeshasikia hili kwamba kati ya start-up kumi zinazoanzishwa saba zinakufa ndani ya miezi michache. What does this mean for an investor/bank? Start-up are too risky. Na hii ni kwanini start-up too risky, mara nyingi start up nyingi zinaanzishwa na watu wasio na ulewo wa biashara, mbili start up nyingi are just a single product.

Nimejaribu kufikiria jee ni nini entrepreneur angalie kabla hajaanza kuzunguka kutafuta mtaji wa kwa start up. Kwa uchache here is the roadmap.
  1. Know the numbers behind your business. Ukweli kwamba kama unataka kutengeneza business ambayo utaajiri watu na wewe kupata mafanikio basi lazima ujue namba. Mambo kama lini biashara itakuwa cash positive, Jee kiasi gani cha mtaji unaitaji? Jee Gross Margin zako zitakuwaje? Lini biashara ita break even, Jee ikifika sehemu fulani utaitaji tena mtaji kiasi gani? Jee mauzo kwa mwezi yawe kiasi gani ili uweze kujiendesha mwenyewe. Haya yote ni maswali ambayo lazima ujiulize na uprove majibu yako. Kama utajidanganya mwenyewe kwa kusema aaah nitauza KG 200 kwa mwezi za unga bila hata kujua Bakheresa anauza ngapi, hapo utakuwa unajiingiza chaka.
  2. Test and Prove your idea. Hapa ndio kikomo cha start up, idea yako itakuwa idea mpaka utakapo ijaribu na kuona inafanya kazi. Mfano mimi nimekuwa nikiwaza sana biashara ya kusindika vyakula, sababu it is not capital intensive, the market is BIG and the process is not complicated. However, nimekuwa muwazi nikitambua kwamba Waatanzania sio walaji wa process food, it's a new product machoni kwa watu so it can be mix results. So, i decide kutest the market, hivyo nitatengeneza prototype (za majaribio) na naanza na maharage kwanza, nita process 100 jars za 1/2KG Mbeya beans, kisha 20 nitagawa for different people from different background, kisha baada ya muda nitachukua survey kuona wameonaje. Kama watapenda then i know this idea can be product to the mass, kama hawa 20 wakisema NO then am ending this nonsese and think about something else. Hivyo ni muhimu sana kutest market before anything.

Kama hayo mawili hapo juu yote ni provable then unaweza kusema kwamba wewe sasa una biashara. Ileweke kwamba kuna tofauti ya biashara na idea. Financing ziko za aina kadhaa lakini kwa start-up i will only focus on two: Angles Investors ( Mama mdogo, uncle, mjomba, jirani, kaka yako, someone you know), hawa ni jamaa zako ambao wanakuamini wewe, take your idea to this folks and ask for a certain capital with a Promise of percentage ownership katika biashara yako. Kumbuka to own 70% of a business is better than own 100% of an idea with no capital. Second is debt finance (Bank, Vikoba, Saccoss, private equity, n.k). These are the folks who doesnt know you, and they don't care about your product they only care for ROI of their money. Nakupa 1,000,000 prove utairudisha in 6 month with 20% interest rate. How to face this mean people? Below is 1,2,3
  1. Have a some revenue, hawa jamaa wanataka kuona jee umeshatengeneza hela. Means your business is not an idea any more. So, make sure biashara ishasimama hata kwa mguu moja kabla ya kwenda Bank kukopa.
  2. Be prepared: Kumbuka hawa jamaa only thing they care is their money, so lijue soko, jua forecast zako, zijue namba zako vilivyo na hapa kama uliandikiwa Business Plan be ready kutoka jasho la kwapa.
  3. Get use to the word "NO", jiandae kabisa kwamba wapo watakao kukwambia No lakini don't give up.

I hope this point chache zinaweza kutoa mwanga kidogo, lakini kumbuka ya kwamba wewe ndio unaijua biashara yako kushinda mtu yoyote, hivyo no one can stop you to make it happen.

Kaza msuli haya mambo yanawezekana, 80% ya kuendelea ni kujiandaa kimawazo, kama umejipanga kimawazo unakwenda. Jamani hawa kina Manji, MO, Mengi, Azam waliwezaje? If you have a tough skin kama kenge, then this is your field. Lakini kama ukipoteza 10,000Tsh unakosa usingizi, basi please kaa huko huko kwa muajiri. Failure is not permanent.

Mkuu God bless uu
 
Mkuu Lubricants is a real money, challenge kubwa kwa sasa ni kucheza shire kwa shilling kwenye soko.

Mtanganyika naweza pata namba yako tafadhali....nimesoma comments zako JF nimevutiwa sana...naomba namba yako tafadhali...kuna kitu tunaweza share nadhani....pls
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom