Bungeni: Zitto aigalagaza Serikali, Spika ashindilia msumari wa moto!

Hivi huyu Mkulo alifanikiwa vipi kuwa Mkurugenzi wa NSSF kwa miaka nenda rudi......................?? Au enzi zile hakukuwa na wasomi??

Situation is still the same even today! Tazizo letu hatujui what to expect so whatever they deliver tunaona ni exception kumbe tumeibiwa!
Mfano - whats the life of Dodoma University vs money spent thereon -kama si mtaalam jiulize tu basi kama walau kitaishi nusu ya umri wa UDSM bila kuhitaji major maintanance?

Au TRA wanajifanya wame- meet target za kukusanya mapato bandarini ili hali ni exchange rate inawazsaidia! - June 2011 say 1389 now 1580 lakini target ya 2011/12 ni ile ile! Au na hii tunataka Lusinde aje tutukania?
 
Unajua toka zamani nkajua upara ni hekima kumbe this assumption does not apply to all!
Hakuna tulichofaidika kwenye ubinafsishaji ZZK imekuwa godown ali kadhalika Mbeya Textile wanwekea Tumbakumsunguratextile ndo usiseme magofu.
Wametuulia Tanganyika packers yetu
 
Hiyo ndo tabu ya kuwana mawaziri ambao wanauhakika kuwa rais hana ubavu juu yao. Big headed ministers!
 
kumbe ana jeuri eeeh......! Anamgomea hadi spika? Hii hatari kwelikweli.......!

siku zote pesa huongea . Mkulo anazo za kumtosha amefikia mahali amekuwa km mateja ambao wakibwia unga humuona kila mtu km sisimizi. Mkulo anastimu za kuranduka
 
quote_icon.png
By mopaozi
Zito anatafuta cheap popularity hamna jipya kwani nani asiyejua kama wembe ukitaka kunyoa utie maji kwa mwenzio!

Wakuu naomba tuwe wakweli japo once in a year. Zitto did very well leo. Mkulo alikuwa mdogo kama piriton kwenye mjengo leo.

Ukiona mpaka bibi chau kamtetea Zitto ujue serikali imeshikwa pabaya leo.

Sijui ni lini mawaziri wataanza kujiuzulu kwa kutoa majibhu ya kihuni namna hii kwenye masuala yanayoigusa jamii
 
Wananchi sasa tumechoka, mwaziri usanii mtupu hawako tayari kutumikia watanzania kwa uhalisia bali wanaendeshwa na imani za baraza la mawaziri la kutetea kila jambo hata kama ukweli unajulikana. Mwanzoni niliamini kuwa uteuzi wa mawaziri ulizingatia uwezo wa kiutendaji wa mteule kumbe la hasha! Wengine unajiuliza ni nani aliyeshawishi uteuzi huo? Mkulo aache ubabaishaji, anaonyesha hajui lolote wakati kwa umri wake ameshuhudia viwanda vingi vikifanya kazi wakati wa mwalimu. Leo hii Mbeyatex muekezaji anauza vipuri vya mashine kama scraper. Tanganyika packers ilishakufa, UFI kwisha habari yake. Basi atuambie hizo faida anazozisema zinatokana na viwanda gani vilivyobinafsishwa. Hakukuwa na uhusiano wa yeye kama waziri kukwepa kujibu swali la Mh. zitto kwa kisingizio ati swali jipya. Toa majibu acha usanii kazi kushiriki misiba tu. Ni bora tungesikia kuwa mnatembelea wagonjwa.

We are finished fellows!
 
Nashangaa sana huyu Mkullo hiyo confidence na kiburi huko bungeni anavitoa wapi? Inawezekana kwavile anajua maloroso ya mkulu ndio anamblackmail kuwa hawezi kumuondoa katika wadhifa huo alionao otherwise jama amepwaya kishenzi kama waziri wa fedha!!
Hiyo ndiyo sababu haswa wanaopwaya hawaguswi na wakati huo nchi inaendelea kudidmia. Wapo wengi sana serikali iko usingizini. Usingizi wa serikali hii hauna tofauti na wa mlamba unga, hulala popote hata katikati ya barabara na mwishowe hufia hata bafuni.
 
Naibu Waziri Fedha akijibu swali Bungeni leo,alisifia mafanikio ya Ubinafsishaji.Mh. Zito akauliza swali la nyongeza na kusema anasikitishwa na Serikali kusifia mafanikio ya ubinafsishaji na kutoa mifano kuwa 1980s, viwanda vya korosho vilikuwa 12 leo 1 tu chafanya kazi.

Akaongeza Mwatex, Mbeyatex, Sunguratex viko wapi leo. Mkulo kajibu ati swali la Zito ni jipya (kwa kuwa kataja Textile Industry)! Spika Makinda akamgeuzia kibao Mkulo kuwa swali la Zito ni valid lakini hamshinikiza atoe jibu!

Kanuni ko vipi?
. Spika ndo anapaswa kuwa hivyo kuhakikisha maswali ya WABUNGE yanajibiwa ipasavyo. Big up Bi kiroboto Big up CDM
 
Situation is still the same even today! Tazizo letu hatujui what to expect so whatever they deliver tunaona ni exception kumbe tumeibiwa!
Mfano - whats the life of Dodoma University vs money spent thereon -kama si mtaalam jiulize tu basi kama walau kitaishi nusu ya umri wa UDSM bila kuhitaji major maintanance?

Au TRA wanajifanya wame- meet target za kukusanya mapato bandarini ili hali ni exchange rate inawazsaidia! - June 2011 say 1389 now 1580 lakini target ya 2011/12 ni ile ile! Au na hii tunataka Lusinde aje tutukania?

Kwakweli umepigilia msumari inavyotakiwa.
 
Kiwanda cha nyma kimegeuka kiwanja cha ufufuo!

Enzi zake wangi walikufa sasa ni wakati wa kufufuka kwa kwenda mbele. Ninaamuru na viwanda vyote vilivyokufa kifisadi vifufuke kwa jina la Yesu
 
Naibu Waziri Fedha akijibu swali Bungeni leo,alisifia mafanikio ya Ubinafsishaji.Mh. Zito akauliza swali la nyongeza na kusema anasikitishwa na Serikali kusifia mafanikio ya ubinafsishaji na kutoa mifano kuwa 1980s, viwanda vya korosho vilikuwa 12 leo 1 tu chafanya kazi.

Akaongeza Mwatex, Mbeyatex, Sunguratex viko wapi leo. Mkulo kajibu ati swali la Zito ni jipya (kwa kuwa kataja Textile Industry)! Spika Makinda akamgeuzia kibao Mkulo kuwa swali la Zito ni valid lakini hamshinikiza atoe jibu!

Kanuni ko vipi?

Kama Mkulo anafikia kusifia ubinafsishaji umeleta mafanikio serikali msije shangaaa Mkulo akasema kipato cha mtanzani ni kizuri zaidi Mwingereza.

Maana akili ya mkulo imedumaa sana in 80's nchi hii ilikuwa na viwanda vingi leo hii anadhani sie tumesahau au au anadhani kila kijana ni kizazi cha dot com?????

Mkulo ni Waziri anaye onyesha wazi wazi kuwa yeye yuko kwenye Politics for Curiosity fulani fulani hizi na ndio maana tunasema hatu wataki CCM muda wao sasa umeisha kweli wazili wa fedha yet unaongea pumba Bungeni hivi hili bunge mumeliona la mzaha sana til when viongozi wa CCM mtabadirika.


 
Back
Top Bottom