Bungeni: Zitto aigalagaza Serikali, Spika ashindilia msumari wa moto!

Waziri Mkulo anataka akaangalie msiba wa kanumba cloud Tv. Ukimuuliza Kanumba ameshatoa Filamu ngapi atakujibu bila hata ya kusoma mahali pia hata historia ya kanumba anayo kichwani .Lakini kwenye mambo ya uchumi wa nchi kupita korosho mpaka akasome du!!! hawa ndio mawaziri wetu
 
Waziri Mkulo anataka akaangalie msiba wa kanumba cloud Tv. Ukimuuliza Kanumba ameshatoa Filamu ngapi atakujibu bila hata ya kusoma mahali pia hata historia ya kanumba anayo kichwani .Lakini kwenye mambo ya uchumi wa nchi kupita korosho mpaka akasome du!!! hawa ndio mawaziri wetu

hahahaha
 
Ndo Viongozi wetu, Mkulo ameonyesha udhaifu mkubwa sana, hata kujibu swali hawezi, kweli tuna waziri kivuli wa fedha
 
Yani kweli hili ndo jukwaa gumu kuliko yote! Kwa sababu kuna mambo ukiyasikia unaweza igonga ngumi screen ya watu bure...Kuna watu kibao wanaoweza kuleta maendeleo siyo mtu unakumbatia maslahi ya chama na mtandao wako kiasi cha kufumbia macho maslahi ya nchi ambayo ndo yamekuweka madarakani in the first place....
thats why i will always be a socialist...haya mambo ya democracy na politics yanatia hasira sana!
 
Nashangaa sana huyu Mkullo hiyo confidence na kiburi huko bungeni anavitoa wapi? Inawezekana kwavile anajua maloroso ya mkulu ndio anamblackmail kuwa hawezi kumuondoa katika wadhifa huo alionao otherwise jama amepwaya kishenzi kama waziri wa fedha!!
 
Swali gumu sana hilo kwa mtu kama Mkullo! that guy is sinking our economy.. sijui inakuwaje mpaka leo yupo tu hapo wizarani
 
Huyu mkulo anadharau sana..nakumbuka bunge lilopita aliitwa na spika kujibu swali hukusimama kuashiari kuwa amegoma..huyu jamaa amelewa na pesa zetu pale wizarani.

Ndo ubaya wa kuteua mtu kwa misingi ya imani, na si uwezo:ranger:
 
Zito anatafuta cheap popularity hamna jipya kwani nani asiyejua kama wembe ukitaka kunyoa utie maji kwa mwenzio!
 
Kama Bunge aliwezi kuibana Serikali ili iseme nani alipewa Pesa za STIMULURS PARCKAGE nahisi kuna mchezo mchafu umefanyika, hivyo nashauri NGUVU YA UMMA ITUMIKE ILI TUJUE PESA HIZO ZAIDD YA TRILIIIIIIIIIIII,,,,,,,,ONI ZILIKWENDA WAPI? MNAONAJE WADAU
 
Mkulo anapwaya sana! Spika alikuwa na fursa ya kumpasha Mkulo lakini anazuiwa na Party coccous. Nimeangalia kwa makini mchezo wa Mkulo alipokuwa anajibu swali as if ana ubia na serikali. Ameniboa sana~!

Mkuu ni "Party caucus"

Ukitoa "o" ya pili kwenye hilo neno lako ukabakiwa na coccus, the word
can be used to describe any bacterium that has a spherical shape
 
Hayo anaypuliza Zitto, yana majibu rahisi sana, vyote vimeuliwa na Watanzania wenyewe kwa uzembe na uvivu wao.
 
Jamani huyu waziri wetu ndugu Mkulo yeye hakutuma CV kugombea ile nafasi ya Rais wa World Bank ama walitumia vigezo gani, maana nadhani wangeangalia vigezo vya uchumi unaokua kwa kasi basi wangemchagua Mkulo maana mimi tokea anachaguliwa yeye haishi kutangaza kuwa uchumi unakua kwa kasi lakini kwa macho ya kawaida sioni kinachokua zaidi ya kutuumiza sie walalhoi kwa kodi za ajabu ajabu tu
 
Wapi Tanzania bag corporations, Kiltimbers, Moshi tanneries, Kilimanjaro Machine Tools, Imara Wood Products Limited, Moshi Plywood
 
Zito anatafuta cheap popularity hamna jipya kwani nani asiyejua kama wembe ukitaka kunyoa utie maji kwa mwenzio!

I think popularity is the key to political success, you can't be a successful politician without being popular. If you target what the public want they will like you to be their leader. Nafikiri hii attack ya "cheap popularity makes no sense"
 
kwa kweli majibu ya mawaziri karibu wote huwa ni ya kutimiza wajibu wao tu maana huwa hawajafanya utafiti wa majibu yao hata kama ni ya uongo kwani wamezoea kujibu hovyohovyo maana hakuna wa kuwawajibisha.
 
Back
Top Bottom