Hakuna haja ya kuuliza kwa nini Spika wa bunge Anne Makinda hakushinikiza Mkulo atoe majibu ni kwamba huyu mama si kawekwa pale kwa kulinda Sirikali na sio Serikali na bado mengi mtarajie kuyasikia.Sheme on you voted to Ccm Magamba na poleni sana kwa wote wenye kuongozwa na wabunge wa Ccm Magamba kwa kuwa hata kwenye mikutano yao na wananchi hawapendi waulizwe maswali Lol!!! imekula kwenu mnaokumbatia Magamba na kuyaneemesha ilhali nyie mwashindia dona na matembele wenzenu wanakula kuku.